Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli.ila tuache siri za watu.Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
Mbwembwe za kijinga alafu.Habari kama hii inahitaji data, vinginevyo ni mbwembwe tu.
Kwan ukiliona jasho la mwenzako ni kosa ?!!na ujue mishahara ya watu ili ugundue nini??? fanya yako kila mtu na jasho lake
Inaelekea hesabu ulipata F? Dollar 27500 ni millioni 6? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama Milion 6?
Hiyo ni kama million 60 siyo 6!Kama Milion 6?
Sasa mkuu si wao ndio wanajigamba kama hivi wanatulazimisha tujue sasana ujue mishahara ya watu ili ugundue nini??? fanya yako kila mtu na jasho lake
Aliacha yeye na kasim kayra wakatmkia azamAliacha BBC au alistaafu?
Sasa yeye kajuaje mishahara ya wenzie?, wakati ni siriHata yeye aliwahi kuniambia kuwa analipwa pesa ndefu kuliko mtangazaji yeyote yule japo ilikuwa siri yake kama Gardner.
Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
Mounth....hahahahahaha$6500 @mounth
$6500 @mounth
amesema wa redio charles ni wa TvKwa utangazaj gan kuwazid kina Charles Hilary
Huyu Jamaa, alikuwa analipwa almost 17million per month alivyokuwa BBCAtamzid Charles Hillary kweli?
Nenda jukwaa la matusi wanaume wanakusubiri huko!!**** la mama ako