Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
Sio kweli.ila tuache siri za watu.
 
hata yule mwanamke wa usiku kuna siku alihojiwa na kituo cha tbc na mtangazaji fulani mkurya akadai pia yeye naye analipwa kuliko watangazaji wote..kwa clouds kila mtu kulipwa kuliko wote jambo la kawaida, ngoja waje ma brands manager nao waje waseme ni walipwaji hatari
 
Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!

Ajathibitisha, amesema! Nyie wazee wa kuja ku conclude vitu msivyovijua wala kuwa na uhakika navyo mna matatizo
 
Back
Top Bottom