Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Hhhhh huyo gadner ana kidem kama mtoto wake vile
 
Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!



Mwisho wa siku hakuna atakayezikwa na sanda nyekundu au kijani, wote ni sanda nyeupe, hivyo regardless of whatever you earn, tambua kuwa duniani tunapita.
 
$27500 kwa mwezi
6d5c626d9188072fe5d8416321a8ae06.jpg


Acha uwongo kijana kawa almasi uyo mpk alipwe milioni 60
 
Milard ayo na kwa jinc anavyopigaa kazii kumbee gardner kamwachaa mbalii kimshaharaa ilaa kimaendeleo ayo yupoo juu ya abashi
 
Back
Top Bottom