Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
uongo wa kijani huu yaani 62,000,000/month?$27500 kwa mwezi
6/61M??Kama Milion 6?
Bora kusubiri kifo ili tuwe sawaKabisa mkuu kwa hali ilivyo sasa kila ufanyalo halina tija
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uongo wa kijani huu yaani 62,000,000/month?
Mwisho wa siku hakuna atakayezikwa na sanda nyekundu au kijani, wote ni sanda nyeupe, hivyo regardless of whatever you earn, tambua kuwa duniani tunapita.
this is very true charles hilary amepoachiwa yule lazima walipandilia dau kule bbc alipokuwepoLabda kwa upande CMG, vipi mtu kama Charles Hilary nazani atakuwa analipwa zaidi ya Gardner.
title imekosewa basiCharles hillary hayupo kwenye radio sheh
😱😱😱Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gardner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania.
Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds TV Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
sasa hiyo ikikatwakatwa si anabaki na kama net ya laki 8 hivi?Labda kwa Salary Scale ya CMG ,kama nchini si kweli........Akizidi 1.5m sijui.