MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Huwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikutaPole sana mkuu,umeibiwa kwenye mazingira gani
Dah. Hii ni balaa sana. Pole.Huwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Kuna mdau ameitia MFUKONI?Huwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Kwani haikufungwa GPS!?Hari zenu wana Jf
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 4441 DZD
Mbona hizi siyo namba zetuT. 4441 DZD
Mkuu analimalizaje?Hilo mbona dogo tu ..lishaisha hilooo...
Umesahau kuandika zawadi nono itatolewa,Hari zenu wana Jf
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 4441 DZD
Umepoteza IST soon utanunua Vogue.Hari zenu wana Jf
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 4441 DZD
Msamehe,Mbona hizi siyo namba zetu
🤣Msamehe,
Suala lunachanganya unaeza pekua wallet kuangalia IST
AhsanteDah. Hii ni balaa sana. Pole.