Acha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbaliKwahiyo?
Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka dar asubuhi mpaka mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50 nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Hapa hatuongelei mauzo na kupitwa hii chuma sio ya kufukuzana nayo natumia mwenyewe siwezi kuiuzaFuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari cha chini, but walau ungesema Crown..!!
Siku Ukipata Ajali uje Pia Utuambie..Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka dar asubuhi mpaka mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50 nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Matatizo yapiNadhani unataka kuingiza watu mkenge ili mshee matatizo
Wivu mbaya sana utakuwa mchawiSiku Ukipata Ajali uje Pia Utuambie..
Hahaha 🤣mm aisee gari yangu naipenda mnooo....nimepiga shoo nyingi za kibabe mleee hadi rahaa, full makojozi ndani ya ndinga! utam hataree
View attachment 3130527
Soma Mpaka Mwisho meseji yangu usiwahi kujibu Rudi kaisome tenaWivu mbaya sana utakuwa mchawi
Sawa!Acha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali
Utumbo unayo?Sawa mleta mada tushajua unamiliki Brevis acha sisi tunaomiliki miguu na makalio peke yake tupite kimya kimya ngoja wamiliki wa "Vieite" waje hapa wakute huu utumbo!
Nimekuelewa sana na umeandika kama una hasira sasa ajali hapa imeingiaje utakuwa mchawi wewe uzeeni na sijakulazimisha kuchangia madaSoma Mpaka Mwisho meseji yangu usiwahi kujibu Rudi kaisome tena
Sasa wewe Unadhani mimi Ni kijana kama wewe?Nimekuelewa sana na umeandika kama una hasira sasa ajali hapa imeingiaje utakuwa mchawi wewe uzeeni na sijakulazimisha kuchangia mada
Hata akili huna tafuta mjinga mwenzio mbishane nyie ndo wale mtu akifanikiwa mnasema freemason saizi tunaongelea brevis wewe unaongelea ajali mchawi kabisa wewe usirudi tena hapa watu kama nyie mnafaa kutukanwa tu haufai kuheshimiwaSasa wewe Unadhani mimi Ni kijana kama wewe?