Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Fuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari za chini, but walau ungesema Crown..!!

Brevis vs Crown; unamkataa nyani ila unamtaka kima.
 
Humu ni jukwaa huru, hata wewe huwezi kunipangia Nini Cha kufanya,unaonyesha jinsi ilivyo Mpumbavu,unaongeza yaleyale unayotenda, Hekima hupewacbaadhi kwa kweli,Baba nae anasema Nina mtoto!
Kama unajua hili ni jukwaa huru kilichokuleta kuanza kututishia vifo tusipotembea 80 ni nini?

Niko Mombo nachukua maini niendelee kupiga gia kuitafuta Dar, natembea speed salama sio huo upuuzi wa 80 unaomsababisha dereva fatigue, monotony na inattention na kupelekea ajali.

Katishie familia yako.
 
Kama unajua hili ni jukwaa huru kilichokuleta kuanza kututishia vifo tusipotembea 80 ni nini?

Niko Mombo nachukua maini niendelee kupiga gia kuitafuta Dar, natembea speed salama sio huo upuuzi wa 80 unaomsababisha dereva fatigue, monotony na inattention na kupelekea ajali.

Katishie familia yako.
Bwege wewe,endeshavutakavyo,hujui hata vitisho, mtoto wa mama!
 
Tukana kwa kuwa ndilo unalolijua, haya ya barabarani kaa kushoto mkuu
Na Umaskini wa Akili ni mbaya kuliko kukosa Mali,kila mtu unamuona hana kitu ni Wewe,usamehewe bure kukosa balance ya Vyakula,ndo mitoto kama Wewe!
 
Wanaokusoma wanakuona mlugaluga, mambo ya barabarani,we kwako umeona Dili!Nitakupa tuu elimu bure, endelea kunichokoza .
Wewe Mzee Kimwakaleli umetokea wapi tena na hizi mambo mzala akishika mbovu mpotezee wala haupungukiwi na kitu humu tupige story tu za Wasizwa mnaharibiana siku kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu..
 
Back
Top Bottom