Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Huna unachojua,ni utoto na kujimwambafya kwamba wewe ni Bora kuliko wengine.Huna ubora wowote, wazazi wako ndio wanakuona Bora.Hata Mimi hivyohivyoHatuhitaji employment history yako. Kwamba TCC ndio nini yani?
Umeshajionyesha kuwa wewe sio dereva wa masafa, kaa kwa kutulia.
80kmph maximum speed? Highyway?