dogo unakurupuka hajakuonea wivu kuhusu gari, bali amekuonya spidi unayotembea sio nzuri kwa uhai wako na wa wengine. acha makasiriko una kisirani kama mdada aliye hedhini.Yaani wewe akili huna hufai hata kuletewa mgonjwa Dr kichwani 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dogo unakurupuka hajakuonea wivu kuhusu gari, bali amekuonya spidi unayotembea sio nzuri kwa uhai wako na wa wengine. acha makasiriko una kisirani kama mdada aliye hedhini.Yaani wewe akili huna hufai hata kuletewa mgonjwa Dr kichwani 0
Sasa mkuu, wewe umepost uzi wako alafu unakuwa mkali kweli kweli watu wakikomenti.Anishauri wakati gari ni yangu kwendeni huko
Fuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari cha chini, but walau ungesema Crown..!!
Alitaka asifiwe tuu,hata kama kuna Madhara ya spidi!Sasa mkuu, wewe umepost uzi wako alafu unakuwa mkali kweli kweli watu wakikomenti.
Hapana,Na wewe unamaspidi barabarani?
Hapo sasa umeweka bei ndogo sana, yaaani chini ya pikipiki (boda boda)4m zote hizo sahizi hata 1.8 m
Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
samahani boss hiyo chuma yako cc 3000, inaenda km ngap kwa lita 1Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Aache makasiriko atafute pesa..atajua umuhimu wa kua na gari na speed 150 unayozungumziaAcha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali
mwambie,, 😄Fuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari cha chini, but walau ungesema Crown..!!
Kaka mimi siyo nabii lakini wewe unatumia bangi! Kataaa nikushangaeHata akili huna tafuta mjinga mwenzio mbishane nyie ndo wale mtu akifanikiwa mnasema freemason saizi tunaongelea brevis wewe unaongelea ajali mchawi kabisa wewe usirudi tena hapa watu kama nyie mnafaa kutukanwa tu haufai kuheshimiwa
Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
kwa kias fulani bado unajitafuta mkuu , honestly eb tuliza akil kidogo sab mara unazungumzia prado mara blabla zingne kwahiyo sisi tukufanyje?? tafuta hela mkuu hutapat kbs muda wa kunadi vi baby walker huku ukitambua waz watu wanamilik magar ya maana na wamenyamaz wanakuchora polee.Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Hahahaha..wewe....CRESTA, BREVIS, MARK 2 OLD MODEL, ni kundi moja.
Out of fashion cheap cars ila speed na comfort ipo vizuri. Kama si mtu wa kwenda na Fashion au una bajeti hizi za M5 sijui M3 na unataka gari used hii ndo gari yako.
Anawahi Mwanza....huyu atakuwa mhaya maana sio kwa promotion anayojipatia humu na brevis yakeSpeed 150 , unawahi wapi?
Ni kweli mkuu.Hahahaha..wewe....
Mkuu juzi nimekutana na brevis namna EFF, watu wa Masafa marefu huwambii kitu kwa brevis pia kumbuka wengine wananunua brevis huku akiwa na gari nyingineFuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari za chini, but walau ungesema Crown..!!
Wewe ni mpumbavu. Na sio dereva. Majigambo mengi ila nikikupa chuma twende Mwanza utajinyea.Ok sawa Kijana nimekueleea ila Naendelea Kukukumbusha na kukushauri Kuwa Speed si zaidi ya 80 Kwenye Maeneo yasiyo na watu Na speed 50 kwa maeneo mengi na Speed 30-50 Kwa maeneo ya Watu..
Usitembelee Speed 150 Kwenye Gari ukajiona Mjanja..
Ni Ulimbukeni na Nilimbukeni peke Yake Atayekwenda Speed 150 Na akajisifu..
Vijana Okoeni maisha Yenu na Kuambizana Ukweli bila kupepesa macho Speed Kubwa Inaua na Inasababisha Ajali..
Haijalishi utanitukana Ama utaniona Mchawi ila kwa speed Hiyo naomba Nikuambie Kuwa Tumechoka Kuona ajali barabarani ambazo zinasababishwa na Uzembe wa Dereva,..
Kuhusu Magari nimeanza kuendesha Magari huenda hata Miaka hiyo hujazaliwa Nimeanza kuendesha One 10 na Chaser Enzi hizo miaka ya 1990 Nikiwa Chuoni mwaka wa nne sijui Ulikuwa na Miaka Mingapi?
Tumechoka Kupokea Kesi za Ajali barabarani Mahospitali zinazosababishwa na Uzembe wa Mtu kwa makusudi kwa kuendesha spidi zaidi ya Inayotakiwa na kushindwa kucontrol gari..
Mimi kama Mzazi wako Nakuonya Kwa hiyo speed Unayoendesha ukichukia Chukia na ukitukana Tukana