Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Sina na ndio maana kwenye comment yangu nimesema namiliki miguu miwili na makalio tu ila sina gari mkuu😄Utumbo unayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina na ndio maana kwenye comment yangu nimesema namiliki miguu miwili na makalio tu ila sina gari mkuu😄Utumbo unayo?
Kwahiyo gari ikipitwa watu wasinunue kwenda huko au unataka niitupe ili ufurahie wivu mbaya sanaNimesema Hili akaniona Mchawi
Gari ni matunzo dogo hata kama ni ya zamani ni matunzo tu ukiitunza vizuri gari na kukarabati kila siku utaiona mpyaInawezekana lugha waliyotumia sio rafiki kwako ila nenda mwendo wa kawaida tu mkuu hiyo 80km/h na 100km/h sio mbaya magari yana mapungufu mengi sana yanapokua kwenye mwendokasi ndio maana likitokea lolote dereva anashindwa ku handle tatizo na kusababisha ajali mbaya kumbuka Brevis ni gari ya zamani sio hizi za 2020 ambazo nazo kuendesha inatakiwa unyate pia..
Hakuna chuki dogo,hayo mavyuma tumemiliki hadi tumeyachoka! Tena wakati tunaanza kumiliki tulikuwa wachache!Hata majirani na mabolozi,walitupa Heshima ukitokea mgonjwa,kimbilio lao ni kwetu wenye magari,sio hii misifa ya mbio za barabarani utafikiri Ngiri katoka shimoni!Mmekutana wenye chuki
Una chuki kwenda hukoSamahani Si kwa Ubaya ningependa Kuuliza Hili ni gari lako la Ngapi?
Na Umenunua Lini?
Ukijibu hayo maswali yatatupa Analysis ni kipi hasa tunadeal nacho
Ukizeeka lazima uwe mchawi una chuki sanaHakuna chuki dogo,hayo mavyuma tumemiliki hadi tumeyachoka! Tena wakati tunaanza kumiliki tulikuwa wachache!Hata majirani na mabolozi,walitupa Heshima ukitokea mgonjwa,kimbilio lao ni kwetu wenye magari,sio hii misifa ya mbio za barabarani utafikiri Ngiri katoka shimoni!
Hizo story za kupitwa na wakati ndiyo zimepitwa na wakati. Watu mbona wananunua cruiser , beetle, Landrover na zilikuwepo kabla ya BrevisFuel guzzler, Brevis watu hawanunui tena siku hizi, out of time..!! Ni gari zimepitwa na wakati, mie sie mpenzi wa gari cha chini, but walau ungesema Crown..!!
Sio chuki,magari nayo yakushobokea wakati hapo south tuu yamejaa hela Yako TU.Hii yetu mitumba kama nguo za mtumba km 120_250Huko south haziruhusiwi.Una chuki kwenda huko
Unaonekana unapenda sana waganga wa kienyeji Wewe! Maana kwa akili hii,Huenda ndio mwenye mafanikio kwenye familia yenu!Hizo brevis za watu washamba na Hilo Prado!Ukizeeka lazima uwe mchawi una chuki sana
Ndiyo hapo sasa hawana akili hao gari ni matunzo tu ukiitunza vizuri unaweza kutumia miaka 100 na gari inakimbia kama mpya kabisa ni ukarabati tuHizo story za kupitwa na wakati ndiyo zimepitwa na wakati. Watu mbona wananunua cruiser , beetle, Landrover na zilikuwepo kabla ya Brevis
Hahaha, Huna gari unafanya nini JF mkuu? Hii ni forum ya wenye magari na wanaotembea na wanawake wazuri, watu wa system na akili kubwa.Sina na ndio maana kwenye comment yangu nimesema namiliki miguu miwili na makalio tu ila sina gari mkuu😄
Unavyocomment tu inaonekana gari huna utakuwa mchawi sana ukizeekaUnaonekana unapenda sana waganga wa kienyeji Wewe! Maana kwa akili hii,Huenda ndio mwenye mafanikio kwenye familia yenu!Hizo brevis za watu washamba na Hilo Prado!
Unaonekana unapenda sana waganga wa kienyeji Wewe! Maana kwa akili hii,Huenda ndio mwenye mafanikio kwenye familia yenu!Hizo brevis za watu washamba na Hilo Prado!
Yaani wewe kukimbiza na gari ndio unaona ni udereva makini!,Punguza kimuhemuhe utakufa siku si zako.Ndiyo hapo sasa hawana akili hao gari ni matunzo tu ukiitunza vizuri unaweza kutumia miaka 100 na gari inakimbia kama mpya kabisa ni ukarabati tu
Kufa sio kukimbiza gari utakufa hata kama unatembea naivi ulivyo mchawi una wivu sanaYaani wewe kukimbiza na gari ndio unaona ni udereva makini!,Punguza kimuhemuhe utakufa siku si zako.
Sawa brother nakusikiliza na ni kweli gari ni matunzo wacha nikusikilize tu..Kwahiyo gari ikipitwa watu wasinunue kwenda huko au unataka niitupe ili ufurahie wivu mbaya sana
Gari ni matunzo dogo hata kama ni ya zamani ni matunzo tu ukiitunza vizuri gari na kukarabati kila siku utaiona mpya
Umemshauri vizuri naona yeye anakuwa na hasira sanaNimesema Hili akaniona Mchawi
Anishauri wakati gari ni yangu kwendeni hukoUmemshauri vizuri naona yeye anakuwa na hasira sana
Old is good hizi gari noma acha wabishe tu wanaobisha itakuwa wanatembelea ist nikimkuta njiani nampita kama amesimama kabisaCRESTA, BREVIS, MARK 2 OLD MODEL, ni kundi moja.
Out of fashion cheap cars ila speed na comfort ipo vizuri. Kama si mtu wa kwenda na Fashion au una bajeti hizi za M5 sijui M3 na unataka gari hii ndo gari yako.