Watu wamepoteza viungo, wengine wamekufa na kuacha watoto wanateseka,Kisa mbio barabarani.Kuna kampuni Moja hapa nchini, nikiwa salesman hapo speed kubwa mwisho 80,na walifunga car track system na kila anayeendesha gari, alikuwa na funguo yake ya gari kumsoma Yeye anayeendesha.Gari zenyewe ni brand new kutoka kiwandani!Zingine zinasoma hadi kms240,ole wako mara 3ikusome umeover speed!Maelezo yake uwe nayo ya kutosha.Kwa mfumo huo ajali hazikuwepo kabisa kwenye kampuni hiyo hadi nimeondoka 2013,Narudia mbio kama Ngiri sio udereva Bali ni kukuita Kifo Cha mapema na Uzembe.Mwenye masikio na Asikie maneno haya.Tahadhali Muhimu.