DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Yeah Inawezekana Ila tushavuka Nusu Karne sasa hivi miaka Inaenda sana..Ok sawa kumbe unaweza kuwa bro wangu tu😀
yaani Ukifikiria Miaka ya 80 na 90 ni kama Juzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah Inawezekana Ila tushavuka Nusu Karne sasa hivi miaka Inaenda sana..Ok sawa kumbe unaweza kuwa bro wangu tu😀
4m zote hizo sahizi hata 1.8 mSiku Ukipata Ajali uje Pia Utuambie..
BTW Brevis ni gari Iliyopitwa na wakati na Wengi wanaziuza sana siku hizi..
Nowdays Kupata Brevis Namba DZ au DX au DY Kwa Shilingi Milioni 4 au Tano ni Kitu cha kawaida sana..
Ukitaka Sports Car Jaribu Crown
😅😅🤣🤣4m zote hizo sahizi hata 1.8 m
Ni kweli miaka inakimbia sana, but Mungu ni mwema.Yeah Inawezekana Ila tushavuka Nusu Karne sasa hivi miaka Inaenda sana..
yaani Ukifikiria Miaka ya 80 na 90 ni kama Juzi tu
Nina uhakika hii comment hatajibu tena umeongea ukweli mchunguOk sawa Kijana nimekueleea ila Naendelea Kukukumbusha na kukushauri Kuwa Speed si zaidi ya 80 Kwenye Maeneo yasiyo na watu Na speed 50 kwa maeneo mengi na Speed 30-50 Kwa maeneo ya Watu..
Usitembelee Speed 150 Kwenye Gari ukajiona Mjanja..
Ni Ulimbukeni na Nilimbukeni peke Yake Atayekwenda Speed 150 Na akajisifu..
Vijana Okoeni maisha Yenu na Kuambizana Ukweli bila kupepesa macho Speed Kubwa Inaua na Inasababisha Ajali..
Haijalishi utanitukana Ama utaniona Mchawi ila kwa speed Hiyo naomba Nikuambie Kuwa Tumechoka Kuona ajali barabarani ambazo zinasababishwa na Uzembe wa Dereva,..
Kuhusu Magari nimeanza kuendesha Magari huenda hata Miaka hiyo hujazaliwa Nimeanza kuendesha One 10 na Chaser Enzi hizo miaka ya 1990 Nikiwa Chuoni mwaka wa nne sijui Ulikuwa na Miaka Mingapi?
Tumechoka Kupokea Kesi za Ajali barabarani Mahospitali zinazosababishwa na Uzembe wa Mtu kwa makusudi kwa kuendesha spidi zaidi ya Inayotakiwa na kushindwa kucontrol gari..
Mimi kama Mzazi wako Nakuonya Kwa hiyo speed Unayoendesha ukichukia Chukia na ukitukana Tukana
Ubaya wa jf unaweza tukananana na baba yako au baba yako ukamwita dogo na usijue jaribu kutumia ustarabu kwenye upande w lugha hata kama hatujuaniKwahiyo gari ikipitwa watu wasinunue kwenda huko au unataka niitupe ili ufurahie wivu mbaya sana
Gari ni matunzo dogo hata kama ni ya zamani ni matunzo tu ukiitunza vizuri gari na kukarabati kila siku utaiona mpya
Kuna watu wanaudhi sana acha wapate wanachotaka mtu ana comment kwa chuki wakati hajalazimishwaUbaya wa jf unaweza tukananana na baba yako au baba yako ukamwita dogo na usijue jaribu kutumia ustarabu kwenye upande w lugha hata kama hatujuani
Nikuonee wivu kwa brevis!Acha dogo kujiona umepata,sisi wa miaka 1970,Tuiendesha landlover 109,Tuliipa chupa tupu Brevis karatasi la mgororo,nione wivu mi mumeo!Wewe ungekuwa na afya ya akili ungenionea wivu wakati hunijui! Lazima nikuchambe tu ili twende sawa na hukulazimishwa kuchangia chochote umejileta tu
Hawa ndio wanaokamia maisha!Kanunua hiyo brevis kila mtu anamuona kachelewa!Na kukimbiza mbio kama shekland ndio kujua kuendesha gari!Ubaya wa jf unaweza tukananana na baba yako au baba yako ukamwita dogo na usijue jaribu kutumia ustarabu kwenye upande w lugha hata kama hatujuani
Sasa land Rover na brevis ipi imepitwa na kwa nini Land Rover zipo mpaka leo ujinga wenu muwe mnapeleka kijijini kwenuNikuonee wivu kwa brevis!Acha dogo kujiona umepata,sisi wa miaka 1970,Tuiendesha landlover 109,Tuliipa chupa tupu Brevis karatasi la mgororo,nione wivu mi mumeo!
Bahati mbaya, kijijini Kwetu hatuna washamba kama wewe,sisi huku Mbeya gari kama hili unalojisifia nalo Tunaliacha katumba!Maana ni la kwendea sokoni tuu, wewe unataka Dar_Mwanza ndege huzioni!Unajichosha sana.Sasa land Rover na brevis ipi imepitwa na kwa nini Land Rover zipo mpaka leo ujinga wenu muwe mnapeleka kijijini kwenu
Mna hasira sana lazima mtakuwa wachawi sio kwa wivu huoSio chuki,magari nayo yakushobokea wakati hapo south tuu yamejaa hela Yako TU.Hii yetu mitumba kama nguo za mtumba km 120_250Huko south haziruhusiwi.
Mngekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyoBahati mbaya, kijijini Kwetu hatuna washamba kama wewe,sisi huku Mbeya gari kama hili unalojisifia nalo Tunaliacha katumba!Maana ni la kwendea sokoni tuu, wewe unataka Dar_Mwanza ndege huzioni!Unajichosha sana.
Hakuna cha ukweli hapo ujinga tuNina uhakika hii comment hatajibu tena umeongea ukweli mchungu
Utapata majeraha utakufa hata kama unatembelea baiskeli siku yako ikifika imefikaSpeed sio udereva, speed ni ugonjwa, speed ni Kifo Cha kujitakia, speed majeraha ya kukosa akili, speed ni kukwepa majukumu, speed ni ushamba kama ushamba mwingine, speed sio kuonyesha wewe ndio unamiliki gari na barabara.nimelogoff.
Hatuna hasira dogo,tunakuweka sawa na ushamba wako,uwe kwenye mistari ulioonyoka!.Umelata Uzi humu ukidhani utasifiwa na Upumbavu wako,umekutana na Chuma kikoli moto Hii ndio JF members!Sisi tutakupa kwa kadri ya akili zetu Bado wengine wapo kanisani wanakuja na Nondo zilizopakwa Mafuta!Mna hasira sana lazima mtakuwa wachawi sio kwa wivu huo
Ila sio kwa Uzembe na ujinga kama wako!Utapata majeraha utakufa hata kama unatembelea baiskeli siku yako ikifika imefika
Unamaanisha Brevis festival?Acha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali