Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Acha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali
😂😂😂- Mwambie huyo- Size Yake ni Guta, Atuache Watu wa Brevis Tujuane humu, Watakuja na Ngonjera Zao humu kwamba Brevis linakura Mafuta, kumbe Uwezo Wao Mdogo Wakezoea kumiliki Gari za kike AST, ukingia kwenye Mashimo kinadunda kama kipira Cha kitenesi
 
😂😂😂- Mwambie huyo- Size Yake ni Guta, Atuache Watu wa Brevis Tujuane humu, Watakuja na Ngonjera Zao humu kwamba Brevis linakura Mafuta, kumbe Uwezo Wao Mdogo Wakezoea kumiliki Gari za kike AST, ukingia kwenye Mashimo kinadunda kama kipira Cha kitenesi
Daah eti kinadunda kama kitenesi umri wa hizo Brevis itakua hamjapishana sana naona au mpo pacha na Brevis yako..
 
Mngekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyo
Hata Mimi namuona Mjinga plus mshamba, Mbeya hakuna washamba mkuu,tunamipaka2,Zambia ,Malawi tumechangamka! Brevis wanaendasha wake zetu sokoni,sie mwendo wa Ndege,nchi kavu tuliacha2020.
 
Ukweli kutoka kwako usiye na akili au kwa nani
Ukiona chizi anakimbia uchi,na anayekimbiza Yuko uchi😂
Ungekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyo
Mimi nina maisha zaidi ya hayo,ndio maana nimemwambia, wewe unaonekana,ndio umetoboa kwenye ukio wenu,unsvyoona ,ila Mimi namuona mshamba na limbukeni sana Sindano ni za moto,weka barafu upoe,mshamba Wewe.
 
Ukiwa masikini hata ukinunua vitz bado utaona umeingia Chaka tafuta pesa uache ujinga
Umri wako wewe ndio utafute hela,nilishatafuta hapa nakula tuu,zangu na za wanangu!Hizo brevis za kishamba,Sina ni gari za maana,sio hizo za kina mama sokoni!
 
Ukiona chizi anakimbia uchi,na anayekimbiza Yuko uchi😂

Mimi nina maisha zaidi ya hayo,ndio maana nimemwambia, wewe unaonekana,ndio umetoboa kwenye ukio wenu,unsvyoona ,ila Mimi namuona mshamba na limbukeni sana Sindano ni za moto,weka barafu upoe,mshamba Wewe.
Hapo ulipo hujala ungekuwa na maisha mazuri usingekuwa na hasira na uzi huu sasa umefuata nini si uende huko kwa wanaopanda ndefe
 
Back
Top Bottom