DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Nishawahi uza laki nane gari inakula wese kinoma nomaKweli mkuu Mimi ni dalali gari aina ya Brevis haziuziki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishawahi uza laki nane gari inakula wese kinoma nomaKweli mkuu Mimi ni dalali gari aina ya Brevis haziuziki
😂😂😂- Mwambie huyo- Size Yake ni Guta, Atuache Watu wa Brevis Tujuane humu, Watakuja na Ngonjera Zao humu kwamba Brevis linakura Mafuta, kumbe Uwezo Wao Mdogo Wakezoea kumiliki Gari za kike AST, ukingia kwenye Mashimo kinadunda kama kipira Cha kitenesiAcha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali
kweli wewe unafaa fb sio hukuKashatapeliwa kauziwa Brevis huyu mpeni muda ataanza kusema ukweli
Kaja na mbwembwe za brevis,akidhani jambo la maana kaambulia ukweli!Sasa hataki anaitwa watuvwanawivu na hasira nae!Wakati gari ni kitu Cha kawaida kama mswaki!Unamaanisha Brevis festival?
Umekuja kutoa maneno ya uongo ili umtetee mwenzako anajiita Dr kwendeni hukoNishawahi uza laki nane gari inakula wese kinoma noma
Daah eti kinadunda kama kitenesi umri wa hizo Brevis itakua hamjapishana sana naona au mpo pacha na Brevis yako..😂😂😂- Mwambie huyo- Size Yake ni Guta, Atuache Watu wa Brevis Tujuane humu, Watakuja na Ngonjera Zao humu kwamba Brevis linakura Mafuta, kumbe Uwezo Wao Mdogo Wakezoea kumiliki Gari za kike AST, ukingia kwenye Mashimo kinadunda kama kipira Cha kitenesi
Ukweli kutoka kwako usiye na akili au kwa naniKaja na mbwembwe za brevis,akidhani jambo la maana kaambulia ukweli!Sasa hataki anaitwa watuvwanawivu na hasira nae!Wakati gari ni kitu Cha kawaida kama mswaki!
Mmeingia chaka mnajifariji!😂😂😂- Mwambie huyo- Size Yake ni Guta, Atuache Watu wa Brevis Tujuane humu, Watakuja na Ngonjera Zao humu kwamba Brevis linakura Mafuta, kumbe Uwezo Wao Mdogo Wakezoea kumiliki Gari za kike AST, ukingia kwenye Mashimo kinadunda kama kipira Cha kitenesi
Hata Mimi namuona Mjinga plus mshamba, Mbeya hakuna washamba mkuu,tunamipaka2,Zambia ,Malawi tumechangamka! Brevis wanaendasha wake zetu sokoni,sie mwendo wa Ndege,nchi kavu tuliacha2020.Mngekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyo
Ungekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyoHata Mimi namuona Mjinga plus mshamba, Mbeya hakuna washamba mkuu,tunamipaka2,Zambia ,Malawi tumechangamka! Brevis wanaendasha wake zetu sokoni,sie mwendo wa Ndege,nchi kavu tuliacha2020.
Ukiona chizi anakimbia uchi,na anayekimbiza Yuko uchi😂Ukweli kutoka kwako usiye na akili au kwa nani
Mimi nina maisha zaidi ya hayo,ndio maana nimemwambia, wewe unaonekana,ndio umetoboa kwenye ukio wenu,unsvyoona ,ila Mimi namuona mshamba na limbukeni sana Sindano ni za moto,weka barafu upoe,mshamba Wewe.Ungekuwa na maisha hayo hata usingekuwa mjinga ivyo
Mmmh sio kweliNishawahi uza laki nane gari inakula wese kinoma noma
Dogo wa masifa ya kishamba,alitegemea brevis ni gari la maana kwa kila mtu!,Ushamba noma.Prado imeingiaje kwenye uzi wa brevisi, vijana mna nongwa.
Wewe ni muhaya eeeh?
Ukiwa masikini hata ukinunua vitz bado utaona umeingia Chaka tafuta pesa uache ujingaMmeingia chaka mnajifariji!
Ameleta uongo wake wa kijinga humu yaani kuna mababa mazima ovyo kabisa hayafai hata kuongoza familiaMmmh sio kweli
Umri wako wewe ndio utafute hela,nilishatafuta hapa nakula tuu,zangu na za wanangu!Hizo brevis za kishamba,Sina ni gari za maana,sio hizo za kina mama sokoni!Ukiwa masikini hata ukinunua vitz bado utaona umeingia Chaka tafuta pesa uache ujinga
Hapo ulipo hujala ungekuwa na maisha mazuri usingekuwa na hasira na uzi huu sasa umefuata nini si uende huko kwa wanaopanda ndefeUkiona chizi anakimbia uchi,na anayekimbiza Yuko uchi😂
Mimi nina maisha zaidi ya hayo,ndio maana nimemwambia, wewe unaonekana,ndio umetoboa kwenye ukio wenu,unsvyoona ,ila Mimi namuona mshamba na limbukeni sana Sindano ni za moto,weka barafu upoe,mshamba Wewe.
Hata libaba lako litakuwa kubwajinga, maana mtoto wake unaonekana tuu,kj+Ameleta uongo wake wa kijinga humu yaani kuna mababa mazima ovyo kabisa hayafai hata kuongoza familia
Baba lako ndiyo limekufundisha kuleta chuki humu jfHata libaba lako litakuwa kubwajinga, maana mtoto wake unaonekana tuu,kj+