- Thread starter
- #161
Sasa kama imepitwa inakuhusu nini na umefuata nini umeitwa!Unapanic jf? Utapasuka kwa kupanic na gari yako iliyopitwa na wakati hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama imepitwa inakuhusu nini na umefuata nini umeitwa!Unapanic jf? Utapasuka kwa kupanic na gari yako iliyopitwa na wakati hiyo
Hamtutishi brevis ni gari nzuriJF sio Mali Yako,za uso utakumbana nazo, brevis ni ki
Dogo, akidhani tutasifu mbio zake na brevis lake!
Sawa, ila kwa barabara zetu za tz andika urithi mapema kwa hayo ma-speed.Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Kwani wewe unajua kesho utakuwepo kufa utakufa tu hata kama sio kwa speedSawa, ila kwa barabara zetu za tz andika urithi mapema kwa hayo ma-speed.
Mjinga mwenzangu ni wewe mshamba wa mbio na brevis mtumba!Soko la nini tafuta mjinga mwenzio mbishane
Tafuta mjinga mwenzio mbishane libaba jinga kubwaMjinga mwenzangu ni wewe mshamba wa mbio na brevis mtumba!
Usilete uzi tena jf kama hutaki tuchangie mada siku nyingine tutakulamba makofiSasa kama imepitwa inakuhusu nini na umefuata nini umeitwa!
Dogo anaonekana mshambaDogo, akidhani tutasifu mbio zake na brevis lake!
Wewe ni kiazi , hakuna wa kusifia ujinga wa member mpya!,Andaa magongo ukinusurika!Pia na mganga wa jadi wa kukupigia ramli,mchawi wa Kwanza Mimi.Kwani wewe unajua kesho utakuwepo kufa utakufa tu hata kama sio kwa speed
Kuchangia mada umechangia kijinga kama ng'ombe na hujaitwa na naleta uzi hunitishiUsilete uzi tena jf kama hutaki tuchangie mada siku nyingine tutakulamba makofi
Hahaha nina Subaru XT usijaribu kunifata mkuuNina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Mshamba ni wewe unayejifanya mjuajiDogo anaonekana mshamba
Alitaka tumsifie speed ya brevis! Kuangukia pua anaweweseka!Usilete uzi tena jf kama hutaki tuchangie mada siku nyingine tutakulamba makofi
Ni mshamba na hajui kama ni mshamba!Dogo anaonekana mshamba
Hiyo engine ndogo brevis yangu ni cc 3000 Subaru yako itapasuka mapema tuHahaha nina Subaru XT usijaribu kunifata mkuu
Dogo tulia humu JF utakuwa smart, ushamba utakutoka tuu!Utamsimulia na mkeo!Mshamba ni wewe unayejifanya mjuaji
Washamba ni nyie mnaochangia mada huku akili kisogoniNi mshamba na hajui kama ni mshamba!
Ole wako urudie kuleta uziKuchangia mada umechangia kijinga kama ng'ombe na hujaitwa na naleta uzi hunitishi
Kuna sredi jf muwe mnazifuta tu. Hii habar nayo inahitaji id feki?Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.