Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Sawa ni lako kuna haja Gani ya kuleta humu ujinga wako na gari mtumba Hilo?Anishauri wakati gari ni yangu kwendeni huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ni lako kuna haja Gani ya kuleta humu ujinga wako na gari mtumba Hilo?Anishauri wakati gari ni yangu kwendeni huko
Uzi ukishaweka hapa hata kama gari yako unakula nyundo tu, tafuta ela hiyo gari iweke makumbushoAnishauri wakati gari ni yangu kwendeni huko
Wewe ungekuwa na afya ya akili ungenionea wivu wakati hunijui! Lazima nikuchambe tu ili twende sawa na hukulazimishwa kuchangia chochote umejileta tuUdereva wa kujihami ndio udereva makini Duniani kote!Mbio barabarani sio udereva Bali ni kuwa na Afya ya Akili ndogo,na ni Hatari kwa anayeendesha mbio na kwa watumiaji Wengine wa barabara hasa watoto na akina mama wajawazito wanavuka barabarani.Namshukuru Mungu,nimeendasha magari kwa Sasa ni Miaka 20,Sijawahi pata ajali yoyote.Labds nyenyele na mchwa ndio nimewagonga,.Mtu kujisifia kukimbiza gari barabarani ni ugonjwa wa Akili sio bure.Sawa Kifo ni Kifo!
WivuuuuuiSawa ni lako kuna haja Gani ya kuleta humu ujinga wako na gari mtumba Hilo?
Usiwe mjua Bora unyamaze,unaoneka umetoka familia yenye Imani za kishetani.!Ulitegemea watu watakusifia kwa huu ujinga wako,akili Yako ni nusu,nikuonee wivu nakujua?!!Huo ndio uchawi wenyewe kama hujui mshamba wenye.Kufa sio kukimbiza gari utakufa hata kama unatembea naivi ulivyo mchawi una wivu sana
W boss=wivu boss ndio wewe na leseni ya kupewa vichochoroni,Mbio zako zinafanana na akili Yako!Wivuuuuui
Dr, mwaka 1990 ulikua Chuo tena mwaka wa 4? Shikamoo Dr 🙌.Ok sawa Kijana nimekueleea ila Naendelea Kukukumbusha na kukushauri Kuwa Speed si zaidi ya 80 Kwenye Maeneo yasiyo na watu Na speed 50 kwa maeneo mengi na Speed 30-50 Kwa maeneo ya Watu..
Usitembelee Speed 150 Kwenye Gari ukajiona Mjanja..
Ni Ulimbukeni na Nilimbukeni peke Yake Atayekwenda Speed 150 Na akajisifu..
Vijana Okoeni maisha Yenu na Kuambizana Ukweli bila kupepesa macho Speed Kubwa Inaua na Inasababisha Ajali..
Haijalishi utanitukana Ama utaniona Mchawi ila kwa speed Hiyo naomba Nikuambie Kuwa Tumechoka Kuona ajali barabarani ambazo zinasababishwa na Uzembe wa Dereva,..
Kuhusu Magari nimeanza kuendesha Magari huenda hata Miaka hiyo hujazaliwa Nimeanza kuendesha One 10 na Chaser Enzi hizo miaka ya 1990 Nikiwa Chuoni mwaka wa nne sijui Ulikuwa na Miaka Mingapi?
Tumechoka Kupokea Kesi za Ajali barabarani Mahospitali zinazosababishwa na Uzembe wa Mtu kwa makusudi kwa kuendesha spidi zaidi ya Inayotakiwa na kushindwa kucontrol gari..
Mimi kama Mzazi wako Nakuonya Kwa hiyo speed Unayoendesha ukichukia Chukia na ukitukana Tukana
Mkuu, ondoa hii mentality. Malengo ya madereva timamu si kushinda mbio unless mpo kwenye michezo ya kulipwa.Old is good hizi gari noma acha wabishe tu wanaobisha itakuwa wanatembelea ist nikimkuta njiani nampita kama amesimama kabisa
Kweli,mtu anaanzisha Mada kama hii ya kukimbiza gari!Anaona sifa ya maana,wakibiringida wamelogwa kama mtoa madam akili yake.Dr, mwaka 1990 ulikua Chuo tena mwaka wa 4? Shikamoo Dr 🙌.
Btw Ushauri mzuri kwa kijana mwendokasi unaua
Unaacha Prado unachukua Brevis si ndio?Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Hana akili huyu,anadhani mbio ndio kujua kuendesha gari!Mkuu, ondoa hii mentality. Malengo ya madereva timamu si kushinda mbio unless upo kwenye michezo ya kulipwa.
Kweli mkuu Mimi ni dalali gari aina ya Brevis haziuzikiSiku Ukipata Ajali uje Pia Utuambie..
BTW Brevis ni gari Iliyopitwa na wakati na Wengi wanaziuza sana siku hizi..
Nowdays Kupata Brevis Namba DZ au DX au DY Kwa Shilingi Milioni 4 au Tano ni Kitu cha kawaida sana..
Ukitaka Sports Car Jaribu Crown
Sijui ndiyo ujana maji ya moto, ila ni hatari sana🙄Kweli,mtu anaanzisha Mada kama hii ya kukimbiza gari!Anaona sifa ya maana,wakibiringida wamelogwa kama mtoa madam akili yake.
Mimi sikuongelea mbio watu ndiyo wanakurupuka walio wajinga humu sijui wametoka fb nimesema nimetoka nayo dar mpaka mwanza na hii gari nilinunua mpya kabisa kwahiyo nimetumia muda mrefu lazima niwe nimewahi kukimbiza speed zote maana wakati mwingine unakuwa na haraka ila majinga mengi mengi humu yanapenda kudakia tu na kurefusha mamboMkuu, ondoa hii mentality. Malengo ya madereva timamu si kushinda mbio unless upo kwenye michezo ya kulipwa.
Wewe ni Fala, unatumia gari kugongea huna hela ya lodge? au ndio umekopea mshahara wako wote umebaki na ya mafuta tumm aisee gari yangu naipenda mnooo....nimepiga shoo nyingi za kibabe mleee hadi rahaa, full makojozi ndani ya ndinga! utam hataree
View attachment 3130527
Mamy mamboSijui ndiyo ujana maji ya moto, ila ni hatari sana🙄
Mkuu, jaribu na Toyota Mark X (DBA-Grx 120), ni chuma kwelikweli. Kina comfortability ya maana, acceleration ya kufa mtu na stability ya kutisha barabarani. Tofauti na Brevis, Mark X haili mafuta kijini jini na pia ina umbo au sura yenye mvuto.Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Sijawaambia nauza hii gari siuzi ni nzuri sana kwa safari ndefuKweli mkuu Mimi ni dalali gari aina ya Brevis haziuziki