Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Showroom haizidi 12m kwa sasa but kwa kumvua mtu mil9 mpk 8 unapata, dada angu analo hilo gari so nimeliendesha sana aliliagiza cost ilifika 14m mpaka tunaendesha kitaani mwaka 2014.
Mafuta inanusa baba Kilimo, engine ni vvt-i so unapiga misele vya kutosha 13kms per litre na hata taa ikiwaka still una uwezo wa kuchapa mwendo mpk ukafika unapotaka pasipo gari kuzima huwa ina reserve ya 4ltrs baada ya taa kuwaka. Its a very economical car jamaa angu na kana nafasi ya kutosha ndani with 3rd row seats unaweza kuwaweka watoto wako ama ukazikunja kuongeza compartment ya kueka mizigo.
Mafuta inanusa baba Kilimo, engine ni vvt-i so unapiga misele vya kutosha 13kms per litre na hata taa ikiwaka still una uwezo wa kuchapa mwendo mpk ukafika unapotaka pasipo gari kuzima huwa ina reserve ya 4ltrs baada ya taa kuwaka. Its a very economical car jamaa angu na kana nafasi ya kutosha ndani with 3rd row seats unaweza kuwaweka watoto wako ama ukazikunja kuongeza compartment ya kueka mizigo.