Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kama wewe ni mpole na hutaki matatizo wala makelele na watu nunua gari bora ya muda wote kwa watu wa kawaida-RAV4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mawazo mgando broo...gari ni usafiri tu wala usicomplicate..nyie ndo mnaozeeka hujawahi miliki hata gari eti ni luxury...mwisho wa siku hakuna hata cha maana ulichofanya kumshinda alonunua gari... kwani nyie maisha mnayatafri vp?Warren Buffett aliwahi kusema: ukinunua vitu usivyo vihitaji, muda mfupi utaanza kuuza vitu unavyovihitaji.
Tokea lini mtu kuanzia maisha kwa gari? Hasa hasa BongoWakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Issue ya mimi kumiliki gari isikusumbue, issue ni huyo kijana atalimudu?Acha mawazo mgando broo...gari ni usafiri tu wala usicomplicate..nyie ndo mnaozeeka hujawahi miliki hata gari eti ni luxury...mwisho wa siku hakuna hata cha maana ulichofanya kumshinda alonunua gari... kwani nyie maisha mnayatafri vp?
sasa assume mtu ana kipato cha laki nne cha uhakika let say ni mwajiriwa wa serikali...akinunua gari ya m6-10 itamshindaje kumdu? gari huwa inasimplfy mambo mengi...achaneni na mawazo ya gari ni luxury ..gari ni usafiri tena ni muhimu kwa maisha ya sasa..labda kama unaishi bushIssue ya mimi kumiliki gari isikusumbue, issue ni huyo kijana atalimudu?
si ajabu, kwa mtu mwenye ajira ya uhakika ..ata akianza na gari si mbaya, kama nyumba atajenga tu...tofautisheni mambo..individualize your case watu hatufananiTokea lini mtu kuanzia maisha kwa gari? Hasa hasa Bongo
Mkuu gari siyo mafuta tu, kuna regular services, wear and tear, insurance , tyres etc, siyo mbaya mwache ajaribusasa assume mtu ana kipato cha laki nne cha uhakika let say ni mwajiriwa wa serikali...akinunua gari ya m6-10 itamshindaje kumdu? gari huwa inasimplfy mambo mengi...achaneni na mawazo ya gari ni luxury ..gari ni usafiri tena ni muhimu kwa maisha ya sasa..labda kama unaishi bush
wakati mwingine tuliozaliwa mazingira ..unakuta hakuna gari..kichwani tunawazaga kumiliki gari ni likitu likuubwa..mimi kwa kweli najilaumu nimeanza kumiliki gari nina miaka 43, yaani nilichelewa kufanya maamuziMkuu gari siyo mafuta tu, kuna regular services, wear and tear, insurance , tyres etc, siyo mbaya mwache ajaribu
kisa nilianza kujenga, ujana wote nimekula msoto...bora ningeanza gari kwa kweliwakati mwingine tuliozaliwa mazingira ..unakuta hakuna gari..kichwani tunawazaga kumiliki gari ni likitu likuubwa..mimi kwa kweli najilaumu nimeanza kumiliki gari nina miaka 43, yaani nilichelewa kufanya maamuzi
Toyota istWakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Mkuu, mimi ninao huu uchafu unanisaidia sana ingawa ninayo na mengine.IST ni uchafu wa Taifa!Heri niendeshe Terios Kid kuliko IST.
Kama bajerti yako ipo fresh yakutuchua ni SH9 2.5XT 5 Speed A/T 263 HP mzee hio ni moto wa kuotea mbali...ila ikishindikana hata 2.0XT 4 Speed A/T 230HP kwa masafa marefu ndo yenyewe...Mkuu! Subaru forester ina changamoto gani kwenye kiti cha dereva? Na je hiyo changamoto ipo hata kwenye Hizi wanaziita Mnyampura (Subaru Forester 2.0XT na 2.5 XT toleo la 2008-2012).
Maana nimezielewa sana na kibubu changu kimefikia hatua nzuri soon nawagongea hodi beforward.
Yaan watu wenye mawazo na fikra kama hizi huwa nawaona bado wapo nyuma sana ya dunia na huwa nawashangaa sanaGari ni liability kama hauna necessary and stable financial resouces. I wont advise you to venture into that. Invest to diversify and increae your income stream. Baadae utajikuta tu unanunua gari kama kifaa cha lazima cha kufanyia shughuli zako
Maskini wengi huwa wanaamini gari ni anasa gari ni utajiri ndio maana hawezi kukushangaa ukinunua pikipiki honda 110mpya kwa Tsh mil 11 ila watakushangaa na kukuundia majungu sana sana ukinunua toyota starlet kwa mtu kwa tsh. mil 3.5 kwa sababu maskini wengi wao wanaamini gari ni anasa na ufahari sana wakati kiuhalisia gari ni kitu cha kawaida kabisa katika maisha kama vitu vingine tunavyo miliki, tuache mawazo ya kimaskini jamanKuwaza kumiliki gari wakati hauna stable income hayo ndiyo mawazo ya kimasikini zaidi na yatakupeleka kwenye ufukara
Bahati mbaya ni kwamba wachache sana watakaokuelewa.Gari ni liability kama hauna necessary and stable financial resouces. I wont advise you to venture into that. Invest to diversify and increae your income stream. Baadae utajikuta tu unanunua gari kama kifaa cha lazima cha kufanyia shughuli zako
Kwa kipato hicho cha Laki 4, sikushauri ununue Gari. Unajiingiza shimoniWakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
umasikini kwa sehemu kubwa unachangiwa na mtazamo hasi kuhusu matumizi sahihi ya resources. Warren Buffett aliwahi kusema hivi: Ukinunua vitu usivyohitaji sasa, utakuja kuuza vitu unavyohitaji baadaeMaskini wengi huwa wanaamini gari ni anasa gari ni utajiri ndio maana hawezi kukushangaa ukinunua pikipiki honda 110mpya kwa Tsh mil 11 ila watakushangaa na kukuundia majungu sana sana ukinunua toyota starlet kwa mtu kwa tsh. mil 3.5 kwa sababu maskini wengi wao wanaamini gari ni anasa na ufahari sana wakati kiuhalisia gari ni kitu cha kawaida kabisa katika maisha kama vitu vingine tunavyo miliki, tuache mawazo ya kimaskini jaman