Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , Kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingitii , niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Nna kiberiti nissan dualis, tangu nimeinunua sijawahi kusimamishwa na trafiki hata mara moja. Lakini wakati nina allex trafiki walikuwa wamezidi kunisimamisha.
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , Kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingitii , niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Huo ni ulimbukeni wa magari tu........wakati 95% ya magari Tz bei zake ndo hizo 10- 20m, unaangalia foreni nzima magari yote ni ya Japan hizo unazo ziita cheap cars trafiki atazimaliza lini kuzisimamisha.
 
Isn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.

kuzimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, na vigari vyote vya chini ya milioni 20 ,
Sina hakika na bei ya Colora.

Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , Kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis,gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii

"Ukikua utabadilika" -- Steve Jobs:

IMG_20240916_093900.jpg


Unasumbuliwa utoto tu ndugu.
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Oya kuna Noah, hilo gari ni kama sumaku ya traffic yaani lazima alisimamishe
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Huwa nasimamishwa na hao jamaa ila baada ya kushusha kioo nafikiri huwa wanagundua huyu sio fala maana wanakuwa wadogo kama piriton.
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Halafu sio trafiki tu, ukiendesha hizo gari hata madereva wa daldala hawakuheshimu. Anaweza kusimama katikati akapakia na haogopi ila akiona LC 200 au mkonga hathubutu.
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Swali la kwanza kwao nazani ni je, kweli nyie mnaotumia haina hyo ya magari ni Mafala? Kwa mujibu wa rafiki wa mwandishi wa habari husika.
 
Fanya utafiti upya ndugu nakupa list ambayo hata leo kaa nyuma ya hyo gari itapigwa mkono yenyewe wewe utapona
1:daladala
2: kirikuu na canter hizi za mishen town
3: gari za maji taka au maji safi
4:tiper za mchanga

Gari hizo ikitoka mbagala kwenda bunju kupitia mjini itasimamishwa mara 10 minimum sijuagi zinakuwaga na shida gani au pengine kuna urahisi wa kuwakuta na kosa wakaandikiwa faini au kutoa chochote kitu

Hzo gari ndogo za kutembelea sio sana unaweza kuendesha hata wiki usipigwe mkono labda zile tax mtandao
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
nyingine suzuki cary vile vyakubebea mizigo mie mwaka 2015 nlikuqg nakitembelea kilikua cha ofcn dukan tunabebea wateja spea za magar bas kilokua kikal ful tinted ful ac ila kila unapokutan na trafk wanakupg mikon yn lazm uchenj buk 2 mbil nying wanajua kigal cha kaz ukos hela ad nkaw situmiimchana au ukitmbea utegesh kukaa mbele karib na mataa au kweny trafk il taa zikirus upite nazo ila ukiw na gar mpya km mak x na umefunga vioo mkanda fresh nadra kusmamishwa ht km umeacha lesen askar wa usalam barbaran wanafocus sn na maokoto na wanajua gar za ma bos zmetmia ila izo no a b c nyng kongwe akos kosa
 
Fanya utafiti upya ndugu nakupa list ambayo hata leo kaa nyuma ya hyo gari itapigwa mkono yenyewe wewe utapona
1:daladala
2: kirikuu na canter hizi za mishen town
3: gari za maji taka au maji safi
4:tiper za mchanga

Gari hizo ikitoka mbagala kwenda bunju kupitia mjini itasimamishwa mara 10 minimum sijuagi zinakuwaga na shida gani au pengine kuna urahisi wa kuwakuta na kosa wakaandikiwa faini au kutoa chochote kitu

Hzo gari ndogo za kutembelea sio sana unaweza kuendesha hata wiki usipigwe mkono labda zile tax mtandao
kirikuu mie nlitembelea ad nlijuta na aikua ya kaz ilikua ya ofcn tu tunabebea mizgo nkaw naitmbelea trafk yn uchenge ef 2 mbil ht za buku 10 na dau lao dog wanajua za kaz ila ilifkia kpnd nkaw natembea nay usik tu na nkiw na hela kila sehm mkon af nlikua nakaa ktunda ofcn mtaa wa lind
 
kirikuu mie nlitembelea ad nlijuta na aikua ya kaz ilikua ya ofcn tu tunabebea mizgo nkaw naitmbelea trafk yn uchenge ef 2 mbil ht za buku 10 na dau lao dog wanajua za kaz ila ilifkia kpnd nkaw natembea nay usik tu na nkiw na hela kila sehm mkon af nlikua nakaa ktunda ofcn mtaa wa lind
Kirikuu ni aibu
 
Back
Top Bottom