Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

mawazo ya kimasikini tu, kuna mwamba huko Geita anamiliki Mabasi zaidi ya miambili na malori lakini anatembelea ki fun cargo, kimsingi umasikini upo sana kwenye fikra lakini si vinginevyo, kuna mjinga mmoja hana hata baiskeli lakini kutwaaa kuwachamba watu wenye Toyoya yaani yeye anaona hizo sio gari kwake yeye Bednz ndio gari lakini anatembea na mguu, kwahiyo hata yeye ni masikini kwenye fikra.

Tajiri Vishu Mtata wewe una nini ndugu?
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Umekosea sana kuiacha Noah/kirikuu na jamii zake....kila kwenye trafik lzm wakunase, unaweza wasusia....
 
Itakuwa ulikuwa unasukuma kitu kikubwa km Range labda, nchi hakuna maaskari walafi kama bk hasa muleba na misenyi yamelaaniwa yale
Sio range sema ni gari yenye hadhi hadhi,hawajawahi yaani.Hiyo route ya Mwz bk ni mara ya pili naenda.
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Bila kusahau suzuki carry
 
Back
Top Bottom