Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Isn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.


Sina hakika na bei ya Colora.

Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
Mbali na cheo lakini hata kabla sijaweka number plate ya Ukoo wangu kwenye Corolla yangu niliwahi simamishwa Mara moja na hapo nilikuwa mafuta Sana natoka Tunduma nimelala na Malaya alafu nikahisi ana ngoma maana nilienda Peku hivyo nilikuwa nakimbia kwenda ofisini niwahi kumeza dawa ,maana masaa yalikuwa yanaelekea kukata .

Mbali na hiyo siku sijawahi kusimamishwa zaidi ya kupungiwa mkono wa kwaheri na hao wanafunzi wa sare nyeupe
 
Ck
Mnapenda kuwapa hela na ndo maana wanawakamata na kuwatoa hela mpaka mnatembea na change. Gari la ofisi na halina shida kwanini uwape hela? Hizi Kirikuu zingine za biashara wanajuana maana hata hao madereva huwa Wana faulo zao hivyo walishajengeana mazingira huku madereva wakidhani kukiwa kuna msala mkubwa itakuwa rahisi kufanya namna

Nina corolla ya 1995 ile ya alitumia Babu mpaka mjukuu na rangi imechunika tena namba A na huwa sipigwi mkono na nikipigwa mkono ni ukaguzi wa kawaida tu na naendelea na safari.

Yaani una driving licence, fire extinguisher, kadi ya gari na reflector. Taa zote yaani indicator zipo fresh, tyre sio kipara plus umefunga mkanda na abiria wako wa mbele nae amefunga mkanda ukitoa hela umependa kutoa sadaka kwa askari labda kama umefanya kosa nje ya hapo.

Shida watu wengi wamezoea kusema askari akiamua lazima atakukuta na kosa wakati si kweli
Corola gari la heshima Sana kaka ,yaani kupigwa mkono ni vile awaze kupiga stori na wewe
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
🤣🤣🤣🤣
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Eti kwenye akili zao huwa wanaamini kila aliyepo humo ni fala🤣🤣🤣🤣.
Watu mna madharau nyieeee aiseee🤣
 
hv kisheria, traffic akisimamisha gari yako inabidi upark afu ushuke ukamsikilize au yy anatakiwa akufate ulipopark uongee nae ukiwa ndan ya gari lako?
Unatakiwa ubaki ndani ya gari, USA ukisimamishwa na polisi ndo hutakiwi hata kujitikisa hata kidogo unatakiwa utulie usubiri maelekezo lakini ukidai sijui unafungua mkanda kabla hajakuelekeza kufanya hivyo unaweza kupigwa risasi on the spot
 
Trafiki hasumbui sana gari za private, gari za biashara ndio mashamba yao yani kirikuu, canter, fuso, daladala, semi trailers hizo hazikatizi mbele ya askari bila kupigwa mikono. Katika checkpoint zenye trafiki 10 wakifanikiwa sana watapita 2 bila bugudha ila 8 zote lazma watasimamishwa.
Aisee katika sehemu Huwa sipati usumbufu ni nikiwa na Lori , aisee gari imekula tan 18 unataka nisimame nikupe buku, yaani
 
Watu mnatoa mapovu ila ukweli ndo huo,nina experience nimepita dar mwanza,mwanza chuga na mwanza bk sijawahi kusimamishwa na traffic.
Tuache utani kuna gari traffic akiona hawezi isimamisha.
 
Back
Top Bottom