Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Gari hizi trafiki wanazipenda kuzipiga mkono

Watu mnatoa mapovu ila ukweli ndo huo,nina experience nimepita dar mwanza,mwanza chuga na mwanza bk sijawahi kusimamishwa na traffic.
Tuache utani kuna gari traffic akiona hawezi isimamisha.
Itakuwa ulikuwa unasukuma kitu kikubwa km Range labda, nchi hakuna maaskari walafi kama bk hasa muleba na misenyi yamelaaniwa yale
 
Wewe utayajua maisha yao au ushauri wao kuliko wao?

Kweli ujinga mzigo bila shaka hata haukumbuki Sep 23 uliyowahi kuitishwa kokote.

Bure kabisa.
Ushauri wao kama umekufaa uchukue jomba, kwangu mimi haunifai ni uongo kauandika hapo.

Vitu vipo tofauti kwa ubora halafu anakwambia kisa vyote vinaserve the same purpose basi usitumie gharama kununua quality we nunua tu famba.
Ushauri mzuri huo kijana??
Wanavaa mitumba hao??
 
Ushauri wao kama umekufaa uchukue jomba, kwangu mimi haunifai ni uongo kauandika hapo.

Vitu vipo tofauti kwa ubora halafu anakwambia kisa vyote vinaserve the same purpose basi usitumie gharama kununua quality we nunua tu famba.
Ushauri mzuri huo kijana??
Wanavaa mitumba hao??

Mkuu kwani wewe ni limbukeni tu, au ni wale matajiri kabisa wa JF wenye ukwasi kuliko kina Steve Jobs au Elon Musk?
 
Kuna chuma yangu moja ina muffler inatema ile mbaya, ukiw 1-3 km away unaskia chuma inakuja hiyo.

Sasa wale jamaa wa kupiga TOCHI huwa ndio wananifaidi sana.. maana unakuta karelax zake anaskia bunda linalia huko "mwamba anakuja" na yeye anapata muda mzr wa kuwasha litochi lake..

Kila nikisafiri na hii gari lazima nipigwe tochi sehem zaidi ya 2-3+.. 😅 ila nikibeba gari ambayo ipo silent wala haina shida sana road.
 
Mkuu kwani wewe ni limbukeni tu, au ni wale matajiri kabisa wa JF wenye ukwasi kuliko kina Steve Jobs au Elon Musk?
Unaangalia ukwasi au ujumbe uliopewa??
Kisa vunjabei ni tajiri kuliko mimi basi nikubaliane kua kuhonga wanawake hovyo ni vizuri..

Sio kila unachoambiwa na tajiri ufate, za kuambiwa changanya na zako.
 
Nadhani huijui Probox / Successed hii gari sio Kenya Uganda na Tanzania hasa mipakani wanajua kabisa hizi ni gari za dill dill mkono kupigwa hiyo gari usiulize hadi kero
 
Suzuki Jimny lazma uwekwe pembeni🤣 unaendeshaje kigari kibaya kwa fujo.
Hahahahaa duh! Jimny 4th generation? Sijawahi kusimamishwa, hili gari nafikiri hata serikalini na baadhi ya balozi wanalo.

1726523069043.png
 
Huwa nasimamishwa na hao jamaa ila baada ya kushusha kioo nafikiri huwa wanagundua huyu sio fala maana wanakuwa wadogo kama piriton.
mimi ninazo gari tajwa, ktk miaka minne ya umiliki wake nimesimamishwa mara moja tu na nilipofungua kioo askari alisema :Samahani mzee ni ukaguzi wa kawaida ila nenda tu mzee wangu
 
Mimi ni mtumiaji wa barabara kwa kiasi chake , kuna hii tabia ya trafiki wanaopiga bao barabarani Kuna gari zao wanazipenda sana kuzisimamisha bila sababu ya msingi 1.Ist, premio, corrola , Nissan dualis, gari yoyote Namba c, b, A na vigari vyote vya chini ya milioni 20 , na hata akikusimamisha ukifika Wala hakuzingatii niliamua kumuliza rafiki yangu mmoja kwa nini mnapenda kuzingua sana wa watumiaji wa hizi gari , alichonijibu " eti kwenye akili zao Huwa Wana uhakika Kila aliyepo humo ni fala tu " vip watumiaji wa hizi gari nyinyi hamkumbani na kazia hii
Sasa milioni 20 si ndio karibu gari zote mzee
 
Unaangalia ukwasi au ujumbe uliopewa??
Kisa vunjabei ni tajiri kuliko mimi basi nikubaliane kua kuhonga wanawake hovyo ni vizuri..

Sio kila unachoambiwa na tajiri ufate, za kuambiwa changanya na zako.

Ukweli mchungu: "ni mwenda kuzimu tu atakusikiliza wewe ndugu Godlove Chief, bilionea mbobezi wewe tokea pande za Nanjilinji huko."
 
Ukweli mchungu: "ni mwenda kuzimu tu atakusikiliza wewe ndugu Godlove Chief, bilionea mbobezi wewe tokea pande za Nanjilinji huko."
Ushapagawa hata hueleweki unaandika nini, fata ushauri wa tajiri yako kutumia famba, tecno na samsung zote simu kwa mujibu wa tajiri wako na zinaserve the same purpose sijui tajiri zako wanatumia itel..

Akili kumkichwa.
 
mawazo ya kimasikini tu, kuna mwamba huko Geita anamiliki Mabasi zaidi ya miambili na malori lakini anatembelea ki fun cargo, kimsingi umasikini upo sana kwenye fikra lakini si vinginevyo, kuna mjinga mmoja hana hata baiskeli lakini kutwaaa kuwachamba watu wenye Toyoya yaani yeye anaona hizo sio gari kwake yeye Bednz ndio gari lakini anatembea na mguu, kwahiyo hata yeye ni masikini kwenye fikra.
 
Huwa nasimamishwa na hao jamaa ila baada ya kushusha kioo nafikiri huwa wanagundua huyu sio fala maana wanakuwa wadogo kama piriton.
Nyie vigogo wa Ccm mna mikwara kweli kweli
 
Back
Top Bottom