King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
anhaaHio sijui inatakiwa vipi ila naona ulaya mara nyingi askari ndio huifata gari kwa ukaguzi na vielelezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anhaaHio sijui inatakiwa vipi ila naona ulaya mara nyingi askari ndio huifata gari kwa ukaguzi na vielelezo.
Ist now bampa kubwa 22mIsn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.
Sina hakika na bei ya Colora.
Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
Toyo sijui ziliwakosea nini trafiki,yan ikikatiza mbele yao lazima waisimamishe!Isn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.
Sina hakika na bei ya Colora.
Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
Suzuki Jimmy gari za Afsa Watendaji wa Mitaa😫😂Hiyo ni kweli kabisa.
Kuna siku naelekea barabara ya kusini kuelekea Mtwara. Niliongozana na Voxwagen Tourag wakati mimi nikiwa nyuma na suzuki jimmy.
Kwa mwendo ule ule na kasi ileile mi nilisimamishwa ila Touareg ili pita kama hawaioni.
Kosa ilikuwa spidi.
Ndo nikaju akari polisi wa barabarani vichwani kweupe
Kwa ufahari Ni Sawa. Pia hali halisi inalazimisha lakini ukweli ni kwamba hakuna anayetaka kinyonge wakati uwezo anaoTafuta pesa bro vitz haiwezi kua sawa V8 hata umbali hupungua kulingana na ubora na speed ya gari husika.
Daah mzee yaani kua na gari imara ni kwa ajili ya ufahari au usalama wako mwenyewe??Kwa ufahari Ni Sawa. Pia hali halisi inalazimisha lakini ukweli ni kwamba hakuna anayetaka kinyonge wakati uwezo anao
Colora = XIsn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.
Sina hakika na bei ya Colora.
Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
Tafuta pesa bro vitz haiwezi kua sawa V8 hata umbali hupungua kulingana na ubora na speed ya gari husika.
Naongelea hali halisi, Kuna watu wana uwezo wa kuwa na chochote kati ya hivyo lakini vipaumbele huamua zaidi kulingana na matumiziDaah mzee yaani kua na gari imara ni kwa ajili ya ufahari au usalama wako mwenyewe??
Hizo motivational quotes zinawadanganya sana na kuwapa matumaini hewa.
Uwe na uwezo wa kununua V8 halafu ununue vits used, utakua na matatizo ya akili sio bure.Naongelea hali halisi, Kuna watu wana uwezo wa kuwa na chochote kati ya hivyo lakini vipaumbele huamua zaidi kulingana na matumizi
Kina steve jobs ndo wanaishi hayo maisha aliyoshauri hapo??Siyo mimi ndugu labda kama ungependa kuwapa ushauri wako wa aina ya kina Steve Jobs?
Wangalipo kina Trump, Musk na wa aina hizo bado hawajafa mkuu.
Isn't 18.5 mil
Premio 22.5-27mil
Dualis 23-26-35mil
Ni gari zinazopendelewa na vijana obviously kwenye mentality ya hao traffic kuwa hawawezi kuwa na vyeo vinavyoweza kutishia tabia zao za ulaji rushwa.
Sina hakika na bei ya Colora.
Gari zinazopata shida na trafiki wala rushwa ni gari za mizigo,Canter,fuso, Suzuki carry,guta,gari za mkaa,dalaldala,tax na gari za abiria kama Tata n.k
Kwan kili kuu sio canter?? Ukizungumzia Canter umetaza magari aina ya kilikuu yote mkuu, maana hamna brand inayoitwa kili kuu, wanaita Kilikuu kwa kulingana na umbo lake na ni jina la wabongo tu.Bila kusahau kirikuu
Canter ni Mitsubishi. Kirikuu inaweza kuwa Suzuki,Daihatsu etc.Kwan kili kuu sio canter?? Ukizungumzia Canter umetaza magari aina ya kilikuu yote mkuu, maana hamna brand inayoitwa kili kuu, wanaita Kilikuu kwa kulingana na umbo lake na ni jina la wabongo tu.
Unatakiwa umsubiri aje,kama kuna umuhimu wa kushuka atakwambia.hv kisheria, traffic akisimamisha gari yako inabidi upark afu ushuke ukamsikilize au yy anatakiwa akufate ulipopark uongee nae ukiwa ndan ya gari lako?
Sio 95% kaka ni 98% ziko bei chini ya 20M.Huo ni ulimbukeni wa magari tu........wakati 95% ya magari Tz bei zake ndo hizo 10- 20m, unaangalia foreni nzkma magari yote ya Japan hizo unazo ziita cheap cars trafiki atazimaliza lini kuzimaliza kuzisimamisha.
Mnapenda kuwapa hela na ndo maana wanawakamata na kuwatoa hela mpaka mnatembea na change. Gari la ofisi na halina shida kwanini uwape hela? Hizi Kirikuu zingine za biashara wanajuana maana hata hao madereva huwa Wana faulo zao hivyo walishajengeana mazingira huku madereva wakidhani kukiwa kuna msala mkubwa itakuwa rahisi kufanya namnakirikuu mie nlitembelea ad nlijuta na aikua ya kaz ilikua ya ofcn tu tunabebea mizgo nkaw naitmbelea trafk yn uchenge ef 2 mbil ht za buku 10 na dau lao dog wanajua za kaz ila ilifkia kpnd nkaw natembea nay usik tu na nkiw na hela kila sehm mkon af nlikua nakaa ktunda ofcn mtaa wa lind
Nilitaka nikuite utoe ushuhuda hapa 😂😂Huwa nasimamishwa na hao jamaa ila baada ya kushusha kioo nafikiri huwa wanagundua huyu sio fala maana wanakuwa wadogo kama piriton.