Gari kuzima relini

Gari kuzima relini

Kwamba gari zote zinazozimaga relini ni manual tu and nothing else?
Coincidence nothing else. Unakuta mafuta yameishia hapo lazima gari izime. By ze way automatic haiwezi kuzima kwa sababu zinazo fanana na za kukanyaga mafuta ghafla? Huku ukiwa umetoka kwenye mwendo tofauti na huo?
 
Coincidence nothing else. Unakuta mafuta yameishia hapo lazima gari izime. By ze way automatic haiwezi kuzima kwa sababu zinazo fanana na za kukanyaga mafuta ghafla? Huku ukiwa umetoka kwenye mwendo tofauti na huo?
Okay nothing else
 
Kuna kitu kitaalam kinaitwa dramafotic fraut saued ambayo kwa ufupi sana na nikitumia lugha nyepes ya watu wote kuelewa hali hiyo inatokana na malg net ya rel kua nakiwango kikubwa cha grouy soulr enarlg ambayo huvuta couk valve za maung grill gar na hapo hapo reul gaug ambazo zinakua adjust na bioj glue statir. Kwa pamoja zikivutwa zinaleta hali ya druill over inner hali hiyo hupeleka buop bumb kujaa swup bob nying kias cubiq 1/4 kipind unavuta mafuta gran test zinakua low pump na hupelekea ku over late speed nadhan nimeeleweka vyema au nifafanue zaidi
 
Mimi nimeshawahi kukatisha, treni ikiwa karibu sana, na gari haikuzima.

Ilikua Buguruni kwa mnyamani, kuelekea barakuda, ilikua siku yangu ya kwanza kupita barabara ile, mbaya zaidi, wafanya biashara wamesongomana, kiasi kwamba huwezi kuona leri kwa mbali.

Hivyo nilipokaribia nilimkuta yule mwenye kitambaa, hakaninyooshea kitambaa chekundu juu, ishara ya Simama ikiwa karibu kabisa na leri, ila kama kuna treni Sikuweza kuiona, kutokana na kuzibwa na mabanda ya biashara.
Sasa kosa alilofanya yule mwenye kitambaa alishusha kile kitambaa kwa kukata mithiri ya wafanyavyo marefa wasaidizi alafu akasegea pembeni huku akiongea na Simu.
Nikajua ameniruhusu, naingia tu kwenye leri ndiyo naiona treni mita 50 toka nilipo.

Wakati nakatiza nikasikia mayowe ya wa mama wanauza samaki na bidhaa zingine kulia kwangu kufuata njia leri, kwakua nilivuka salama sikusimama.

Ila pale ni hatari sana pamebanana sana tren haionekani haraka kwa mwenye gari.
 
Kwamba gari zote zinazozimaga relini ni manual tu and nothing else?
...Ngapi unazofahami wewe zilizima zikivuka reli na Ngapi zinavuka TU Salama Hata Treni ikiwa Karibu?? Jiulize....ama umeingia kwenye Mkumbo wa kuamini kwamba Treni inakuwa na Smaku inayosimisha Gari??
Ni Mapokeo TU!!
 
Kuna kitu kitaalam kinaitwa dramafotic fraut saued ambayo kwa ufupi sana na nikitumia lugha nyepes ya watu wote kuelewa hali hiyo inatokana na malg net ya rel kua nakiwango kikubwa cha grouy soulr enarlg ambayo huvuta couk valve za maung grill gar na hapo hapo reul gaug ambazo zinakua adjust na bioj glue statir. Kwa pamoja zikivutwa zinaleta hali ya druill over inner hali hiyo hupeleka buop bumb kujaa swup bob nying kias cubiq 1/4 kipind unavuta mafuta gran test zinakua low pump na hupelekea ku over late speed nadhan nimeeleweka vyema au nifafanue zaidi
🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa Gari ambazo si Auto nahisi mwendo unaopita nao si halisi kwa Gia yake, labda Speed 15 alafu upo namba 3 na unazidi kukanyaga Break ili upite taratibu.... sababu kwa Makutano ya Reli zetu na Barabara za Magari hua kuna Mashimo katika Reli #mawazo_yangu
 
...Ngapi unazofahami wewe zilizima zikivuka reli na Ngapi zinavuka TU Salama Hata Treni ikiwa Karibu?? Jiulize....ama umeingia kwenye Mkumbo wa kuamini kwamba Treni inakuwa na Smaku inayosimisha Gari??
Ni Mapokeo TU!!
Yes nothing else
 
Back
Top Bottom