Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Mkubwa umekurupuka kama kenge

Huoni suv hilo ndugu au wewe landcruiser utaona sawa na passo kisa zote toyota?
 
We kavu kwel..Diamond kanunua Ghost? Tena umepost za 2010..unajua ukiwa nigaah alaf pigo zakike unaweza hata chapiwa mkeo...hapo hata baiskeli huna umetulia tu kwa shemeji yako ..Kaangalie RR ya Diamond na ulizo post ww...
 
Ananikumbusha tulivyokuwa wadogo huko vijijini kwetu, gari zote ndogo tulikuwa tunaita tax. hata ingekuwa ni sport car ya millions bado tungeiona tungeiita tax.

Halafu amesemaje? ni bei rahisi unaweza kuagiza!! yeye ameagiza iko wapi?
Watu maskini tuna shida sana. Yani mtu ukute hana hata bakuri la kunywea mchuzi hapo anapopewa hisani kuishi ila analeta ubishi wa uongo kwenye matumizi ya hela za watu. Tuwarekebishe akili zao zibaki Facebook
 
Nyeeeeeeeenyeeeeeh nyilioni nyia taaaaaatu!!

Shenziiii.
Kwa roho hiii
Hiyo hiyo 300m utaitamka hivi hivi hapa kwenye jukwaa , vizazi vyako vitano nyuma na vitano mbele hamna mwenye kumilik hiyo hela na hamjawahi kuwa nayo.
Katika ujumla wenu,
Keenge bukini weeeewe

Na bado!!
 
Mleta Uzi mbona katekeleza uzi wake!!
Ukisikia "UTAJUA HUJUI" ndio Hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vitu vingine mtu kama hujui bora kukaa kimya tu kuliko kujionesha unajua kumbe hamnazo.
Nipo nawataftia bei
 
Nikupe millioni mia tatu upo dubai unatuma picha za gari used zilizopo japan??


Hivi kweli???

Yani hata kama ndo unajifunza utapeli mimi sijawahi kufanya hio kazi lakini upo vibaya mkuu
Kwani uzi wangu umesema nauza magar?
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Used?weka ushahidi kwamba aliyonayo MOND ni used,acha uchawi jombaa
 
Nikupe millioni mia tatu upo dubai unatuma picha za gari used zilizopo japan??


Hivi kweli???

Yani hata kama ndo unajifunza utapeli mimi sijawahi kufanya hio kazi lakini upo vibaya mkuu
Mimi sio tapel ila wabongo wengi bado vilaza gar la m3000 mnaambiwa la B [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sema mwana ana misukule wake ambao huwaambii kitu kuhusu Diamond, wenyewe wanamwita 'mondi'
Sasa iko hivi, ni kweli mwana anahustle ila sioni haja ya kudanganya, kwani hata used rolls Royce ni pesa ndefu vilevile,
 
Kwani uzi wangu umesema nauza magar?
Sasa kama huuzi kwanini uanze kuniomba m300?
Unnunulie gari??

Gari lenyewe hulifahamu unapost ghost za zamani watu wamenunua cullinan

Mm ntakuaminije mkuu usije wewe kwa akili yako ukapewa ghost ya 2002 kwa sababu akili yako ya mdudu ukajua RR zote ni sawa tu

Jinunulie mwnyw asee umetoka huko ulipotoka ukajikutaaa sherlock mwenyewe...mgunduzi wa mambo afu umefika tukakuweka spana

Tulia kwanza hapohapo
 
Why wasanii wa kiafrika/Black amerika wengi wanapenda kujionyesha/kujifaharisha! Mtu ananunua gari la bei gali and others wanaiga mfano imekuwa ushindani flani ana bonge la gari, hamuoni kuwa ni ushamba tu! Ana nunua gari la milioni 200 wakati iyo hela anaweza akawekeza mradi mkubwa. White people hawako ivyo na ushamba ushamba.
kwaiyo Diego unataka kusema sisi Tunao tumia macho matatu 2.8 m ni wajinga unataka tutumie tekno kama ww kwa sababu 2.8 ni bei ya kiwanja et 😁😁😁
 
Back
Top Bottom