Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Mkubwa umekurupuka kama kenge
Huoni suv hilo ndugu au wewe landcruiser utaona sawa na passo kisa zote toyota?
Huoni suv hilo ndugu au wewe landcruiser utaona sawa na passo kisa zote toyota?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stress zitawaua, umbwa nyieJamaa hata akinunua kitu cha Sh Millioni moja, lazima aongeze sifuri mbili. Halafu anajifanya hamnazo na hawajui wa Tanzania kwa kushushua waongo.
Plus kodi hapo B haijafka?
Watu maskini tuna shida sana. Yani mtu ukute hana hata bakuri la kunywea mchuzi hapo anapopewa hisani kuishi ila analeta ubishi wa uongo kwenye matumizi ya hela za watu. Tuwarekebishe akili zao zibaki FacebookAnanikumbusha tulivyokuwa wadogo huko vijijini kwetu, gari zote ndogo tulikuwa tunaita tax. hata ingekuwa ni sport car ya millions bado tungeiona tungeiita tax.
Halafu amesemaje? ni bei rahisi unaweza kuagiza!! yeye ameagiza iko wapi?
Mkuu nawewe unakulaga ban?Mtoa uzi anajifanya anajua halafu kumbe hajui kitu! Unajua bishania kitu atleast uko unakijua sio unabisha bisha tu ilimradi
Wapinzani tumeanza kumkumbuka mwenda zake kiaina. [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili hizi zenu bora Mwigulu na Samia waitishe tena bunge wapandishe kodi iwe mara 100 kabisa
Nipo nawataftia beiMleta Uzi mbona katekeleza uzi wake!!
Ukisikia "UTAJUA HUJUI" ndio Hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu vingine mtu kama hujui bora kukaa kimya tu kuliko kujionesha unajua kumbe hamnazo.
Sasa utatutaftia bei ipi gari hulijui???Nipo nawataftia bei
Tulia wewe Aristote nipo Dubai apa lete M300 nikutumie Rr na uhuru wake itakua 600Sasa utatutaftia bei ipi gari hulijui???
Au unaenda kuangalia used be forward gari la 2021???
Humu ndugu yangu tupo watu
Janja janja hamna
Tulia na ghost zako ulizopost hapo juu
Nikupe millioni mia tatu upo dubai unatuma picha za gari used zilizopo japan??Tulia wewe Aristote nipo Dubai apa lete M300 nikutumie Rr na uhuru wake itakua 600
Kwani uzi wangu umesema nauza magar?Nikupe millioni mia tatu upo dubai unatuma picha za gari used zilizopo japan??
Hivi kweli???
Yani hata kama ndo unajifunza utapeli mimi sijawahi kufanya hio kazi lakini upo vibaya mkuu
Used?weka ushahidi kwamba aliyonayo MOND ni used,acha uchawi jombaaDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Mimi sio tapel ila wabongo wengi bado vilaza gar la m3000 mnaambiwa la B [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikupe millioni mia tatu upo dubai unatuma picha za gari used zilizopo japan??
Hivi kweli???
Yani hata kama ndo unajifunza utapeli mimi sijawahi kufanya hio kazi lakini upo vibaya mkuu
Sasa kama huuzi kwanini uanze kuniomba m300?Kwani uzi wangu umesema nauza magar?
kwaiyo Diego unataka kusema sisi Tunao tumia macho matatu 2.8 m ni wajinga unataka tutumie tekno kama ww kwa sababu 2.8 ni bei ya kiwanja et 😁😁😁Why wasanii wa kiafrika/Black amerika wengi wanapenda kujionyesha/kujifaharisha! Mtu ananunua gari la bei gali and others wanaiga mfano imekuwa ushindani flani ana bonge la gari, hamuoni kuwa ni ushamba tu! Ana nunua gari la milioni 200 wakati iyo hela anaweza akawekeza mradi mkubwa. White people hawako ivyo na ushamba ushamba.