Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Dangote but all in all zakwake xo zangu japo mm xhabiki wake inabd nitafte changu hahaha aah MB zenyewe znsnipa tiz kununua xo hayo kwangu still not capable
 
Mie Yanga, so hii Hainihusu

lakini

Hivi haya magari anazikwa nayo?

nauliza tu


Maana kama mtu una gari zako mbili
moja ya kutembelea na nyingine ya kuzungukia

unanunua nyingine saba za nini?

Basi hata tuyahurumie mazingira,

Maana hilo dude litaongeza hata kama 0.00007% ya Carbons halifai


Haya mnipige mawe sasa ...
Tafuta vyako wew mchawi
 
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.

db8dc7b47b7e283b97af0872c33f46d1.jpg
hutu tugari arusha vijana wanatembelea kitaa sana,hakuna cha kushangaza hapo
 
Utashangaa midume pia inamwita simba,dunia imevaa koti.....
 
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.

db8dc7b47b7e283b97af0872c33f46d1.jpg
Poor Diamon
 
Back
Top Bottom