johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata Mbowe kama asingelipiwa faini na Dr Magufuli naye angekuwa kwenye hiyo karandinga akipandisha bendera za chama tawala!Kama wewe ulivyo mfungwa wa lumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mbowe kama asingelipiwa faini na Dr Magufuli naye angekuwa kwenye hiyo karandinga akipandisha bendera za chama tawala!Kama wewe ulivyo mfungwa wa lumumba
Na mheshimiwa Mchochezi atakapofungwa Segedansa 7 yrs to come naye atatumika kupandisha bendera za Chama tawala.
Ni suala la muda na pumzi tu.
Sawaa tumekusikua, inabidi kuripoti police haraka sana
Hamna tatizo ccm ndio yenye serekali , hongera sana mkuu wa magereza
Mkuu wa gereza apandishwe cheo haraka sana
Keep dreaming!Na mheshimiwa Mchochezi atakapofungwa Segedansa 7 yrs to come naye atatumika kupandisha bendera za Chama tawala.
Ni suala la muda na pumzi tu.
Hivi vyombo vimekuwa mali ya sisiemu tangu yule jamaa tulipompa ulaji.
wanaitaga mwaka wa uchaguzi picha za minato zinakuwa nyingi sana mkuu
Kweni magereza wanakula na askari wanalipwa pesa za serikali inayoongozwa na watu wa chama gani?Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dododma Mjini Leo 7.07.2020.
Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya @ccm_tanzania
View attachment 1499900View attachment 1499901
Hakika tuzidi kumuomba mungu atusimamie ili tufikie huo mudaNgoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka, ndiyo wanamalizia malizia utukufu wao, soon Taifa litarudi kwenye misingi ya Utawala Bora na ustaarab ambapo tofauti za kiitikadi hazitaonekana ni uhasama, tutafoutiana kwenye hoja lakini tutabaki kuwa wamoja kama Taifa.
Acha uongo ww...ccm hata wenye ccm wenyewe mmeichoka [emoji23][emoji23]Hata wewe unaweza kuwatumia wafungwa kwa shughuli yoyote ila kuna malipo unalipia, Sio kesi!
Mimi washanivunia sana mpunga
Kweni magereza wanakula na askari wanalipwa pesa za serikali inayoongozwa na watu wa chama gani?
Acha uongo ww...ccm hata wenye ccm wenyewe mmeichoka [emoji23][emoji23]
WAFUNGWA na askari magereza na magari yao vyote vinatumia kodi za watanzania, hakuna senti hata moja inayotoka mfukoni mwa ccm.
Hata kama wewe una kazi yako Waite hata Ujenzi wanafanya pesa yako tuGari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ,ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo 7.07.2020. Jeshi la Magereza limegeuzwa nguvu kazi ya CCM
View attachment 1499913
Hata kama wewe una kazi yako Waite hata Ujenzi wanafanya pesa yako tu
Hiyo kodi inakusanywa na nani? Serikali inaongozwa na nani?hivi hua mnafikiri kwa kichwa au makalio?huwezi kutenga chama serikali na chochote kile ktk nchi..popote duniani
Kina nani? Mnadhani kila anaeona ukweli ni CCM? watu mmepoteza dira mnaenda kama wanyama Nyumbu.Kubali kuwa mmefanya makosa na mtahukumiwa kulingana na myatendayo