third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Hayo yatabaki kua maumivu yako binafsi mkuu, sisi usitutoe kwenye reli kabisa.kesho nimwaka mpya nawatu washaanza kuweka status picha ya pombe kali. Apo ushanielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuwa na inflation ya bei mkuu, ndani ya miaka motatu bei za magari zimepanda so usitegemee bei za mkononi kubakia kama zamani.Sasa hilo ongezeko linamhusu nini yeye? Mtu alinunua gari ikiwa na km elfu 75, leo kuna km laki na sitini halafu bei ipande kwasababu gani? Hiyo 7m ni halali kabisa.
Kabisa utadhani IST ni nanasi.Watu wanafanya kama biashara. Hata wakati wa kununua utasikia nunua ist ni rahisi kuiuza.
Lakini ni biashara huria. Wewe usinunue kwake, acha ahangaike na mkweche wake, kama kweli ni overpriced kiasi hicho, hatapata mteja.Hivi Watanzania mna matatizo gani? Mnafahamu maana ya depreciation? Gari gani inaongezeka thamani baada ya kutumika?
Hivi mnajua hayo magari mnanunua kutoka Japan kwa Usd 3,500 yalipotoka yaliuzwa Usd 100,000 miaka 10 iliyopita?
Nashangaa kuona gari ina namba DSQ ambayo ilitoka January na February 2020 leo mtu anaiuza kwa bei kubwa kuliko aliyonunulia.
Una matatizo ya akili?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila madalali bhanaa.Sasa hilo ongezeko linamhusu nini yeye? Mtu alinunua gari ikiwa na km elfu 75, leo kuna km laki na sitini halafu bei ipande kwasababu gani? Hiyo 7m ni halali kabisa.
Mmmmmmhmn IST imeanza kuuzwa bei ya milioni 12 miaka hiyo kweli? Maana nakumbuka kama IST kipindi zinaanza ingia bei ya juu ilikuwa ni milioni 6 hadi 7. Baada ya uber kuingia ndio shida ikaanza zikaanza kuuzwa kuanzia kati ya milioni 8 hadi 12 kwa IST kali sana.Nakupa sababu kubwa, mwaka 2010 Toyota IST ilikuwa inauzwa around 12m. Fast forward 2023 hiyo IST inauzwa 17m, kuna ongezeko la 5m hapo. Sasa unataka huyo aliyenunua 12m 2020 aiuze 7m? No way!!
Sasa alienunua Brevis miaka nitatu iliyopita na Alienunua Premio zote leo zinamuonekano mzurii nani Atauza kwa bei ya hasara????Watanzania wengi hatuna elimu ya biashara basically. Kwa mfano eneo hili la kuuziana magari wengi huwa wanachoangalia ni anapata faida kwa kuuza gari alilotumia.
Huwa tunawaona other nationals kama Indians, wachina, waarabu, wazungu na kadhalika, wanapookuwa wanauza mali zao kwa bei ya chini tunawaona kama mafala ile hali wanakwenda na kanuni za uchakavu (depreciation) ili kusiwe na ulanguzi.
Unakuta mtu amenunua gari miaka 10 iliyopita halafu anataka kuuza bei sawa au pungufu ya milioni 1 ya bei aliyonunulia yeye hapo anajitoa ufahamu kuhusu uchakavu na gharama ya matengenezo atakayoingia huyu mnunuzi mpya kuifanyia service kubwa ili iwe imara kwa matumizi zaidi.
Hii elimu inabidi itolewe ili kuepusha ulanguzi huu wa kuuza mali chakavu kwa bei ya juu na kudisregard issue ya uchakavu na bei.
I meant 2020 mkuu!Mmmmmmhmn IST imeanza kuuzwa bei ya milioni 12 miaka hiyo kweli? Maana nakumbuka kama IST kipindi zinaanza ingia bei ya juu ilikuwa ni milioni 6 hadi 7. Baada ya uber kuingia ndio shida ikaanza zikaanza kuuzwa kuanzia kati ya milioni 8 hadi 12 kwa IST kali sana.
Usiseme biashara huria bana. Huria haimaanishi bila kuzingatia sheria na kanuni za kibiashara ambazo zinazunguka huo uhuria wenyewe.Lakini ni biashara huria. Wewe usinunue kwake, acha ahangaike na mkweche wake, kama kweli ni overpriced kiasi hicho, hatapata mteja.
Gari gan dada?Hivi Watanzania mna matatizo gani? Mnafahamu maana ya depreciation? Gari gani inaongezeka thamani baada ya kutumika?
Hivi mnajua hayo magari mnanunua kutoka Japan kwa Usd 3,500 yalipotoka yaliuzwa Usd 100,000 miaka 10 iliyopita?
Nashangaa kuona gari ina namba DSQ ambayo ilitoka January na February 2020 leo mtu anaiuza kwa bei kubwa kuliko aliyonunulia.
Kuwa na adabu ewe dalali binti.Gari gan dada?
Kama kutoka mwaka 2020 hadi 2023 lililikuwa tu yard na halitumiki hata kidogo, nakuunga mkonoNakupa sababu kubwa, mwaka 2020 Toyota IST ilikuwa inauzwa around 12m. Fast forward 2023 hiyo IST inauzwa 17m, kuna ongezeko la 5m hapo. Sasa unataka huyo aliyenunua 12m 2020 aiuze 7m? No way!!
Kwanini tena mkuu! Ama wewe ni dalali wa magari etii?Kuna nyuzi zinakuaga za hovyo majnun....
Ebu ngoja niende zangu church..
Ila kuna depreciation ya shilingi pia, leo USD na Tsh ni ngapi?Mnafahamu maana ya depreciation?