ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hata kama ilikuwa inatumika, so long as kuna inflation ya bei za magari, huwezi kuuziwa kwa 7m tena, sana sana utauziwa ile ile 10m iliyonunuliwa.Kama kutoka mwaka 2020 hadi 2023 lililikuwa tu yard na halitumiki hata kidogo, nakuunga mkono