Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujamuelewa vile vileNdio maana wananunua za zamani kuanzia huko 2004 ila inakuwa BMW au CROWN
Hiyo hiyo vitzWewe unatumia gari gani?
Nimemuelewa vizuri sana. Watu wanataka gari nzuri kwa bei chini. ( kwa lugha nyepesi mtu anataka High end ) kwa gharama za low end. Kwasababu ya hali ya pesa ilivyo wengi wanajificha au kujifariji kwa gari za zamani huko 2004 kupooza machungu kwa kupata gari anayo hisi ina vitu inavyo hitajiBado hujamuelewa vile vile
Ona myana kama huyu 😀😀😀.. alafu unakuja mzarau mjep.. kitu kinatoa horse power zaidi ya 400+Hio kitu naikubali kishenzi,nilikua nawaambia watu humu JF hio gari ndio competitor wa Series 7,S-class,Audi A8.
Na bei yake sio ya mchezo,mimi ningeichagua hio LS kuliko hizo gari nyingine hapo juu.
You can't be serious.Jamaa mwenye hizi thread anaijua crown au anaisikia. Akaangalia crown athlete ya 2010 ni bei gani na bmw series 5 ya the same year ni bei gani. Crown inauzwa bei ghali kuliko bmw. Na ina sensors za kutosha
Unamuiga 'Kiduku' lakini bado una kiwango cha chini.Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
![]()
![]()
![]()
Na hii hapa Series 7 ya 2017 na nimeweka Lexus Ls ya 2017.. ufanye ulinganisho.. 😀😀😀😀Hio kitu naikubali kishenzi,nilikua nawaambia watu humu JF hio gari ndio competitor wa Series 7,S-class,Audi A8.
Na bei yake sio ya mchezo,mimi ningeichagua hio LS kuliko hizo gari nyingine hapo juu.
Hii bei mbona inazidi hata ya mpya kabisa ya mwaka huu??Ona myana kama huyu [emoji3][emoji3][emoji3].. alafu unakuja mzarau mjep.. kitu kinatoa horse power zaidi ya 400+
View attachment 1696465
Used 2017 LEXUS LS F SPORTS/DAA-GVF55 for Sale BG467314 - BE FORWARDHii bei mbona inazidi hata ya mpya kabisa ya mwaka huu??
View attachment 1696474
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wajeruma wa JF ndio wana fujo sana, wanapenda sana kufanya wajapan ni wanyongeJamaa kaweka uzi mzuri sana...lakini kama kawaida wazee wa Toyota wamekuja na
Toyota vs Germany cars
Watu wana dhalau eti ni Baby walker 😆Hahahah unatafuta ugomvi na wenye ist na vitz...
Nahisi ( version ). Ls zinaweza zikawa na category pia. Hata hawa pia wameziweka kwa range beiHii bei mbona inazidi hata ya mpya kabisa ya mwaka huu??
View attachment 1696474
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wajerumani wa Jf wana dharau sana. Wao kumiliki Ferrari Porsche imekuwa nongwa kwa wajapan 😀😀Watu wana dhalau eti ni Baby walker 😆
😂😂 porsche,Ferrari?Wako wanakomaa na golf gti mzee 😃😃😃Wajerumani wa Jf wana dharau sana. Wao kumiliki Ferrari Porsche imekuwa nongwa kwa wajapan 😀😀
Yes kitu kimekaa mahala pake.Ona myana kama huyu 😀😀😀.. alafu unakuja mzarau mjep.. kitu kinatoa horse power zaidi ya 400+
View attachment 1696465
Zina category:Nahisi ( version ). Ls zinaweza zikawa na category pia. Hata hawa pia wameziweka kwa range bei
Inaweza kuwa kweliBadilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko
Hizi gari hapo kenya ni nyingi sana barabarani unakutana nazo mpaka unaweza jiuliza hivi bongo n hela hamna au vipi, na kenya haya magari pendwa ya huku, kule unaweza kutana nayo moja moja sanatutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz