Ha ha ha !Kuna gari moja ya serikali ilisababishaga ajali nasikia magomeni, then ikasepa kupitia barabara ya mwendokasi.
Bodaboda wakalala naye mbele, anafika mwanamboka mataa yakawa yameruhusu magari ya kutoka posta. Akawa anataka kupanda ule ukingo ahamie barabara ya kawaida gari ikashindwa, na mara bodaboda hawa hapa.
We! Sijawahi kuona mtu aliyevaa suti akitimua mbio kwa mguu kama yule dereva wa serikali! Unaambiwa alitimua mbio hadi oysterbay.
Na mimi nashangaa jamaa kakomaa na Jaji.Aliyekuwa anaendesha gari ni jaji au dereva wake? Can you charge the judge for an accident caused by his driver?
Serious allegations against a Judge.
Napata tatizo nikifikiri yafuatayo:
1.Dereva anafanya makosa,Traffic Offence, na Jaji anamuangalia tu!
2. Jaji anafahamu sheria za Traffic Ordnance. Na anajua dereva wake anafanya a criminal act kwa kutanua.
3.Kwa kujua hilo, Jaji ni an accomplice to a criminal act.
4. Sioni sababu kwa nini Jaji asiunganishwe kwenye mashitaja ya ajali.
Naomba kuwasilisha.
Umejibiwa mkuu!Na mimi nashangaa jamaa kakomaa na Jaji.
You guys are not serious.Umejibiwa mkuu!
Dereva wako anaendesha bila kufuata sheria wewe unakenua tu, Kwa nini usiunganishwe kwenye uhalifu huu!
When you kill a pedestrian, aaah, its another day in the office!You guys are not serious.
Sawa mkuunami nitanunua vieite niweke king'ora na bendera ya Yanga nisikwame kwenye foleni kama nyie.
Ndio madhara ya kutumbua wale wazoefu na kuajiri ma lena kwa kigezo cha elimu ya form 4 wakati wako ma std 7 hata wanaomaloza n.i.t wawaoni ndani.Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.
Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.
Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.
Hali zao haijulikani.
Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.
Wananchi twafwa!
UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.