Gari ya Jaji yasababisha ajali baada ya kutanua, vijana wa ujenzi Mwenge-Morocco wagongwa

Gari ya Jaji yasababisha ajali baada ya kutanua, vijana wa ujenzi Mwenge-Morocco wagongwa

Kuna gari moja ya serikali ilisababishaga ajali nasikia magomeni, then ikasepa kupitia barabara ya mwendokasi.
Bodaboda wakalala naye mbele, anafika mwanamboka mataa yakawa yameruhusu magari ya kutoka posta. Akawa anataka kupanda ule ukingo ahamie barabara ya kawaida gari ikashindwa, na mara bodaboda hawa hapa.
We! Sijawahi kuona mtu aliyevaa suti akitimua mbio kwa mguu kama yule dereva wa serikali! Unaambiwa alitimua mbio hadi oysterbay.
 
Kuna gari moja ya serikali ilisababishaga ajali nasikia magomeni, then ikasepa kupitia barabara ya mwendokasi.
Bodaboda wakalala naye mbele, anafika mwanamboka mataa yakawa yameruhusu magari ya kutoka posta. Akawa anataka kupanda ule ukingo ahamie barabara ya kawaida gari ikashindwa, na mara bodaboda hawa hapa.
We! Sijawahi kuona mtu aliyevaa suti akitimua mbio kwa mguu kama yule dereva wa serikali! Unaambiwa alitimua mbio hadi oysterbay.
Ha ha ha !
 
Serious allegations against a Judge.
Napata tatizo nikifikiri yafuatayo:

1.Dereva anafanya makosa,Traffic Offence, na Jaji anamuangalia tu!

2. Jaji anafahamu sheria za Traffic Ordnance. Na anajua dereva wake anafanya a criminal act kwa kutanua.

3.Kwa kujua hilo, Jaji ni an accomplice to a criminal act.

4. Sioni sababu kwa nini Jaji asiunganishwe kwenye mashitaja ya ajali.

Naomba kuwasilisha.

Na mimi nashangaa jamaa kakomaa na Jaji.
Umejibiwa mkuu!
Dereva wako anaendesha bila kufuata sheria wewe unakenua tu, Kwa nini usiunganishwe kwenye uhalifu huu!
 
Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.

Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.

Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.

Hali zao haijulikani.

Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.

Wananchi twafwa!

UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.
Ndio madhara ya kutumbua wale wazoefu na kuajiri ma lena kwa kigezo cha elimu ya form 4 wakati wako ma std 7 hata wanaomaloza n.i.t wawaoni ndani.
Wee jiulize kwa nini tangu serikali iajiri upya kwa kigezo cha elimu ajali ndio zineongezeka tofaugi na zamani
 
Back
Top Bottom