She is a Head of State jamani kama hamtaki hizo gharama tafakarini nn kitatokea. Amepotea Magu mnataka tupoteze viongozi kwa makosa ya usalama?Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She is a Head of State jamani kama hamtaki hizo gharama tafakarini nn kitatokea. Amepotea Magu mnataka tupoteze viongozi kwa makosa ya usalama?Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Hivi Marais wenyewe ndio uwa wanafanya maamuzi haya ya kujikweza au ni wapambe wake..na je RAIS na wapambe hawaoni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma?! Vipi akienda Ng'ambo...kinabebwa pia?!Ni Ujinga pia huko mikoani hakuna viti? Nyerere, Mkapa hakuwahi kuingia na Presidential Chair Makanisani
Kwa nini sio ndege?Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Inaelekea hujui chochote kuhusu usalama400,000,000÷30= 13,333,333.33 Yaani milion mia nne gawanya mikoa 30 ya Tanzania sawasawa na milion 13+.
Kama kila mkoa utapewa milion 13 basi kutakuwa na kiti chake na hakutakuwa na kumlipa dreva na mafuta ya gari kwa miaka yote.
Aisee tunaliwaaaaa!
Kwani kuna ulazima wa kusafiri na kiti kila sehemu?Kiwe kinasafirishwa na usafiri upi?
Aiseeee !!!Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
labda hujui kusomaMbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Kwani kuna ulazima wa kusafiri na kiti kila sehemu?
Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Gharama sio kiti bali kinachoaminiwa kipo kwenye kiti.400,000,000÷30= 13,333,333.33 Yaani milion mia nne gawanya mikoa 30 ya Tanzania sawasawa na milion 13+.
Kama kila mkoa utapewa milion 13 basi kutakuwa na kiti chake na hakutakuwa na kumlipa dreva na mafuta ya gari kwa miaka yote.
Aisee tunaliwaaaaa!
Dada kaa kwa kutuliaUzi uko vizuri wewe ndiye mpumbavu
Kiwe kinasafirishwa na usafiri upi?