TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Ondoa hiyo avatar weka ya jina lako please.Mbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ondoa hiyo avatar weka ya jina lako please.Mbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Kwanini?Ondoa hiyo avatar weka ya jina lako please.
Mama samia alafu kofia????????Kwanini?
Sawa mkuu nimebadilishaMama samia alafu kofia????????
Nadhani sasa tunaanza kuboa.Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Viti kama kile vitengenezwa na kuwa katika kila mkoa, bara na visiwani, ili usiwepo ulazima wa kusafirisha kiti kimo kila aendako Rais.Kiwe kinasafirishwa na usafiri upi?
Presidential chair hadi mbinguni au. Mwenda alitarajia cheo huko, na kiti cha mkuu wa malaika.Ni Ujinga pia huko mikoani hakuna viti? Nyerere, Mkapa hakuwahi kuingia na Presidential Chair Makanisani
Tunaweza kuvumilia gharama zinazohusiana na afya na usalama wa raisi hata ziweje. Kama kiti kipo kwa jinsi hiyo sawa. Unajua tozo na ufahari sijui kama vinaendana.She is a Head of State jamani kama hamtaki hizo gharama tafakarini nn kitatokea. Amepotea Magu mnataka tupoteze viongozi kwa makosa ya usalama?
Uzi unaunganisha tozo na matumizi. Ndiyo akili yenyeweKama kit Cha rais kinafunguliwa Uzi bas tatizo la afya ya akili Bado ni kubwa nchini
Kwanini wasiuweke kwenye Ushungi ?!!!!Upo sahihi kabisa mkuu, lakini hebu jaribu kuwaza 'kiafrika' ...
Kiti kwa namna yoyote kuna uwezekano kimewekewa ule utaalamu wetu...
Je!Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Kwahiyo hiko kiti kinakua na dereva wake? Yani dereva anakiita kiti "boss". Hata safari ikiwa ndefu dereva anasimama njiani ili kiti kichimbe dawa [emoji848]
Mods ondoeni "nyuzi" za namna hii!
Tatizo na wao wanajilinganisha na Biden, Putin nk
Kama kiti kina maana sana nadhani next time tuchague kiti tu na sio mtu....; Ingawa kuna watu wanatumia muda kuongelea non issues lakini wengine kama wewe nadhani mna-justify the unjustifiable...Je!
Kwenye hiyo gari huwa kimejaa kiti peke yake bila watendaji wengine wa kiserikali wanaoambatana na msafara husika?
Je mleta mada Suzy Elias wewe ungependa kisafiri kwa usafiri wa fuso au pick up?
Je! Mleta mada ulitaka vichongwe viti vingi vya vyenye nembo ya Ikulu na kusambazwa wilaya zote nchini ili Rais awe akivikuta huko?
Je!
Kama Rais anatumia usafiri wa Land Cruiser V8 unadhani usafiri gani utumike kubeba kiti chake ili kiti pia kifike pale anapokwenda kwa wakati ili akikalie?
Baadhi yenu tukisema mnabomoka kisera mnabisha.....