Gari ya kifahari GX V8 husafirisha kiti cha Rais

Gari ya kifahari GX V8 husafirisha kiti cha Rais

Kule Wingereza kwenye basi kiti cha Rais wetu kilisafirishwa na nini hadi wingereza akatumie kwenye ile Ngorika ya wingereza?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Viongozi wengi wa Kiafrika hawajiamini/hawawaamini Waafrika wenzao.

Imagine siku ile Marais wote walipandishwa kwenye basi moja huku wakiwa hawana walinzi wao binafsi, wala msululu wa magari ya kifahari.

Ila wakiwa katika nchi zao sasa! Unaweza ukahisi labda hawatuja kufa! Kwa namna wanavyo jilinda. Sasa mtu hata kiti tu cha kukaa, eti anazunguka nacho! Ila akienda nje ya nchi, anakiacha!!

Matumizi mabaya kabisa haya ya fedha za walala hoi.
 
She is a Head of State jamani kama hamtaki hizo gharama tafakarini nn kitatokea. Amepotea Magu mnataka tupoteze viongozi kwa makosa ya usalama?

Unataka kutuaminisha kuwa Magu alisepa kwa makosa ya usalama?
Hetu ongeza nyama hapa....!!
 
Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Ni Uzi wa KIPUMBAVU na unashabikiwa na WAPUMBAVU.

Performance ya Rais Samia economically, socially na politically iko EXCELLENT. Wapinzani wake hasa SUKUMA GANG na CDM wanaishia kuokota NON-ISSUES.
 
Habari bila picha dunia ya sasa sw na takataka tu
 
Looh na kwenye dispensary huko namtumbo hakuna panadol.

Viongozi wetu wanapenda matumizi makubwa sana.
 
Kama kit Cha rais kinafunguliwa Uzi bas tatizo la afya ya akili Bado ni kubwa nchini
Kama umeshindwa kujua kinachojadiliwa hapa si kiti ila gharama za kukitunza na kukisafirisha (kodi zetu) basi naungana na wewe, tatizo la afya ya akili ni kubwa hasa kwako.
 
Upumbavu wake upo wapi?

Kati ya anae safirisha kiti kwa bajet ya tozo na msanuaji nani mpumbavu.!?
Kiti hakijaanzwa kusafirishwa leo ...toka enzi za mwinyi kiti huwa kinasafirishwa.....huyu muanzisha uzi ni miongoni mwa watu wanaouchukia utawala wa mama samia jaribu kuangalia thread zake za nyuma, ni miongoni mwa watu waliokuwa wananufaika na utawala wa magufuri
 
Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Kuna Siku mtahoji hata hadi Taiti anayovaa. Miswahili bhana tunaacha Kujadili Vitu vya Msingi tunajadili Pumba tu halafu tunataka tushindane na Rwanda ( Wanyarwanda ) ambao huku wameshatoka na kutuacha muda mrefu mno.

Tunaboa.......!!!!!!
 
Yan watanzania.vitu petty petty ndio discussing. Badala ya kuwaza tunarusha vip na sisi space x karne hii mambo ya viti?
 
Yan watanzania.vitu petty petty ndio discussing. Badala ya kuwaza tunarusha vip na sisi space x karne hii mambo ya viti?
Waache watu wawaze kulingana na mawazo yao.Ukitaka waiwaze hiyo soace x utabaki peke yako unashangaashangaa.
 
Ni Ujinga pia huko mikoani hakuna viti? Nyerere, Mkapa hakuwahi kuingia na Presidential Chair Makanisani
Kuanzia Nyerere hadi mZiLaNkeNdE hawajawahi ingia na kiti kanisani.

Siku nyingine kama hawawezi wakae nje tu
 
Back
Top Bottom