Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Unahisi...Mbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Nikajua utasema huu uzi ni wa Kip...vu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahisi...Mbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Astaghfirullah wallah wabillah tawfiqKiti ni jini wewe tumia akili
Hoja ni kiti kusafirishwa popote aendapo Rais tena kwa gari la kifahari, kwani huko anapokwenda viti hakuna?Tumeishiwa hoja sana.
Safari za maraisi wote huwa kuna gari la akiba linamfuata popote, ndio tuhoji leo?
NCHI hii kupata Maendeleo ni NGUMU SANA Angalia huu MISAFARA kama hii ina Tija gani kwa TaifaGari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Ni kwa sababu ya jina lakoMbona nahisi huu uzi ni wa kipumbavu?
Wapo watatu;Tuambie na posho ya anaye kihudumia
Hapa kuna element ya ushirikinaKwani kuna ulazima wa kusafiri na kiti kila sehemu?
Tuliza kishuzi hicho uzae salama mamaDada kaa kwa kutulia
Mbona wewe ndiye kubwa la majuhaHumu kuna vijana wapumbavu sana. Mbona kule Zanzibar rais alipokaa chini kabisa na kina mama wenzake hamkuongea? Kwa hizi imani zetu za kiafrika kitu kinahusika sana na sio jambo la kufanyia mzaha.
Nimecheka sana.Gharama sio kiti bali kinachoaminiwa kipo kwenye kiti.
Kuna mtaalamu mmoja huko Wete, Pemba kala mamilioni yake kadhaa kwa kuaminisha kuwa kaweka kijini kwenye kiti. Mwenye kukikalia basi anakuwa na nguvu ya ajabu.
Sasa itakuwa tabu kidogo kutengeneza majini ya kila mkoa.
Upumbavu wake upo wapi?Huu uzi upuuzwe ni uzi wa kipumbavu.....nimeanza kuamini kile nilichokuwa nikikihisi kuhusu huyu mtu alieanzisha hii thread ya kipumbavu..
..hicho sio kiti cha WALEMAVU kiasi kwamba kihitajike kila anapokwenda.
Tena ni muhimu sana kiti chake licha ya kusafirishwa na gari maalumu lazima kilindwe. Unadhani Rais anapendwa na kila mtu? Nashangaa sasa ulitaka akifika sehemu akaribishwe tendegu?Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.