Gari ya kifahari GX V8 husafirisha kiti cha Rais

Gari ya kifahari GX V8 husafirisha kiti cha Rais

Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
NCHI hii kupata Maendeleo ni NGUMU SANA Angalia huu MISAFARA kama hii ina Tija gani kwa Taifa
JamiiForums-1638740803.jpg
1977115575.jpg
 
Tuambie na posho ya anaye kihudumia
Wapo watatu;

Afisa mwangalizi namba 1,

Afisa mwangalizi namba 2,na

Dereva.

Wote hao si chini ya milioni 1 na nusu malipo yao ya kujikimu kwa siku.
 
Wakati Mwalimu alikaa hadi foleni na Marais wengine wanakalia viti vya kanisani kwa adabu, kuna Paka special linasafirisha na kukalia kiti maalum👇🐒🐒🐒
ApfOS.png

AAq4U0.jpeg
ADPZA.png
YAMVHzi.jpeg
 
Humu kuna vijana wapumbavu sana. Mbona kule Zanzibar rais alipokaa chini kabisa na kina mama wenzake hamkuongea? Kwa hizi imani zetu za kiafrika kitu kinahusika sana na sio jambo la kufanyia mzaha.
Mbona wewe ndiye kubwa la majuha
 
Huu uzi upuuzwe ni uzi wa kipumbavu.....nimeanza kuamini kile nilichokuwa nikikihisi kuhusu huyu mtu alieanzisha hii thread ya kipumbavu..
 
Gharama sio kiti bali kinachoaminiwa kipo kwenye kiti.

Kuna mtaalamu mmoja huko Wete, Pemba kala mamilioni yake kadhaa kwa kuaminisha kuwa kaweka kijini kwenye kiti. Mwenye kukikalia basi anakuwa na nguvu ya ajabu.

Sasa itakuwa tabu kidogo kutengeneza majini ya kila mkoa.
Nimecheka sana.
 
Wapunguze msongamano wa magari kwenye msafara wa Rais na sio hoja ya kiti sijui nini ..zile vieti zinaweza zikatibu magonjws Sugu baadhi ya wilaya au kujenga Shule za kisasa...
 
Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
Tena ni muhimu sana kiti chake licha ya kusafirishwa na gari maalumu lazima kilindwe. Unadhani Rais anapendwa na kila mtu? Nashangaa sasa ulitaka akifika sehemu akaribishwe tendegu?
 
Back
Top Bottom