Gari ya kifahari GX V8 husafirisha kiti cha Rais

Gari ya kifahari aina ya GX V8 ndiyo husafirisha kiti cha Rais wa nchi popote aendapo.
She is a Head of State jamani kama hamtaki hizo gharama tafakarini nn kitatokea. Amepotea Magu mnataka tupoteze viongozi kwa makosa ya usalama?
 
Inaelekea hujui chochote kuhusu usalama
 
Je ndani ya gari ambayo hicho kiti kinawekwa hakuna maafisa ambao ni waambata wa msafara wa Rais wanaotumia gari hiyo ?
 
Ni itifaki tu iyoo, ila hata ktk.viti vya cello huwa anaketi tu
 
Gharama sio kiti bali kinachoaminiwa kipo kwenye kiti.

Kuna mtaalamu mmoja huko Wete, Pemba kala mamilioni yake kadhaa kwa kuaminisha kuwa kaweka kijini kwenye kiti. Mwenye kukikalia basi anakuwa na nguvu ya ajabu.

Sasa itakuwa tabu kidogo kutengeneza majini ya kila mkoa.
 
Humu kuna vijana wapumbavu sana. Mbona kule Zanzibar rais alipokaa chini kabisa na kina mama wenzake hamkuongea? Kwa hizi imani zetu za kiafrika kitu kinahusika sana na sio jambo la kufanyia mzaha.
 
mfalme george 11 wa uingereza. alikuwa na gari na ndege ya kubeba fimbo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…