[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unajua kusoma ila kuandika bado.
DP world wachukue na wizara ya elimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unajua kusoma ila kuandika bado.
DP world wachukue na wizara ya elimu.
Miaka yote hii bandari ilitunufaisha Nini zaidi ya ufisadi tuMafisadi mmejitokeza kwa fujo kumbe Marehemu Magufuri alikuwa sahihi pale aliposema,"MTANIKUMBUKA"alikuwa anajua nini kinafuata baadaye.
Hongereni wakati n wenu lakini akili yenu ni ndogo kuipa nchi nyingine ajira ya Bandari chanzo kikuu cha uchumi na usalama wa nchi.
Kama ufisadi upo kwa wenye nchi tatizo lako nini?Ona chama chako kilivyo na matatizo mengi,kimeshindwa kusimamia rasilimali zake vizuri sasa kimeamua mazima kuuza nchi kwa kisingizio cha uwekezaji.Mmekataa Demokrasia halali,uchaguzi halali,Bunge halali,Serikali halali na Watanzania halali unafikiri tunasonga au tunarudi enzi zile za mkoloni?Mjitafakari kwa Ahadi Kumi za Mwana TANU ili tufike sehemu sahihi.Miaka yote hii bandari ilitunufaisha Nini zaidi ya ufisadi tu