Hebu nifundishe kutambua ulaji wa mafuta say engine 2990 na nyingine engine 1990
kwenya engine ya gari kuna vitu vinaitwa pistons na hizi huwa zinabidi zifanye rotation ili kuzalisha power na hyo rotation hufanywa kwenye chumba kiitwacho cylinder ... ukubwa wa clylinder mara nyingi ndio utafanya nguvu iwe nyingi na since power inavyokuwa kubwa na ndio mafuta hutukima mengi zaidi... na ukubwa wa clynder hupimwa kwa cubic cm na ndio hizo CC
sasa hadi hapo utakuwa umeshaona kuwa cc1990 itakuwa ina cylinder room ndogo kuliko ile ya 2990 na hata combustion chamber ya cc 2990 itakuwa ni kubwa kuliko ya cc 1990
kwa hyo hii ya cc 1990 itahitaji fuel kidogo na oxygen kidogo kukamilisha mapigo ya piston kuliko itakavyohitaji yenye cc 2990
lakini kwa jinsi technologia ilivyoendelea car manufactures wameanza kutengeneza engines kubwa ila zinazokula mafuta vizuri tofauti na zamani.
lakini pia sio kila gari yenye cc nyingi itakuwa na consumption kuliko yenye cc ndogo... sometimes huwa tofauti kutokana na technologia iliyotumika kutengeneza hizo engines mbili.
ila kitu cha uhakika ni hiki the break horse power and torque produced by the engine itareflect fuel economy ya gari..
more power produced more fuel burned
naweza toa mfano kwa altezza
altezza yenye engine ya 1G-FSE 6 cylinder inaproduce horse power 162
altezza yenye engine ya 3S-GE 4 cylinder ina produce horse power 210
na hata mafuta yenye 3s-Ge inakula kuliko yenye 1G sababu ya power produced..
kwahyo siyo mda wote wingi wa clynder au ukubwa wa engines utareflect ipi inatumia mafuta mengi..
lakini kwa asilimia 85 engines kubwa zinakula mafuta kuliko engines ndogo
kuhusu kujua MPG za engine hizi huwa mara nyingi ni standard na hata zikipishana hazipishani sana yani cc 1990 ya toyota na cc 1990 ya mitsubish zikipishana basi ni kama km 2 tu na huwa kila engine manufacture anakuwa ameweka detail za fuel consumption online
kwa wajuzi zaidi mnaweza nisahihisha mahali nilipokosea ili tuweze kupeana ujuzi zaidi