ilemi mahome
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 883
- 619
Duuh ni zaidi ya corona iyoo.Posta to bunju basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ni zaidi ya corona iyoo.Posta to bunju basi
MkuuuHii itafanana na Suzuki carry kabisa
Vipi mkuu, umeshatatua hili tatizo?Kwa Dar ni sehemu gani nzuro wanafanya hii dignosis. Nina Grand Vitara CC 2000 inakula 6km/lt kwa safari za hapa mjini
Nilibadilisha plug.. kuna slightly improvement.. lkn sio .. kivile.. bado naona inakulaVipi mkuu, umeshatatua hili tatizo?
Hata mimi nina tatizo kama lako, gari yangu ni suzuki engine J20A cc1995, kwa mjini inatembea 5km kwa lita, safari ndefu 10km kwa lita.
Nahisi kuna tatizo.
70÷8=8.75Yangu inatembea km 70 full AC, foleni za Dar es Salaam
Hapa ikiwa brand new lakini
Hata mimi kuna vitu nimeelekezwa kurekebisha.Nilibadilisha plug.. kuna slightly improvement.. lkn sio .. kivile.. bado naona inakula
Zipo japo sio kwa wingi Befoward wanazo kwenye duka lao kariakooHicho kigari spea zake zipo mkuu?
Mkuu nataka niuze escudo nije huku asee, wanasema passo ziharibika sana ni kweli?kwa passo yangu cc 990 mafuta ya 20,000 natembea km 110 nikiwa full kiyoyozi.. bila kiyoyozi naenda hadi 130km
Mkuu nataka niuze escudo nije huku asee, wanasema passo ziharibika sana ni kweli?
Nashukuru sana maana Kuna maneno mengi sana humuMimi natumia mwaka wa 6.. sijawai tengeneza tatizo kubwa zaidi ya civil joint, engine mount, bush na kubadili plug... sema naitumia kwendea job na kurudi home yombo
Uongo mkubwa, shida ya passo haipendi tough road, na shida kubwa kwa hizi garini miguu ya mbele. Kwingine kote safi, ila kama haupiti roughroad sana paso ni gari nzuri kuliko istMkuu nataka niuze escudo nije huku asee, wanasema passo ziharibika sana ni kweli?
Mi nasafiri na passo toka mwanza hadi dar mara kwa mata. Na huwa nawasha garasaa 12 nazima gari dar saa 6 usikuUongo mkubwa, shida ya passo haipendi tough road, na shida kubwa kwa hizi garini miguu ya mbele. Kwingine kote safi, ila kama haupiti roughroad sana paso ni gari nzuri kuliko ist
Unatumia mafuta ya shngp mkuuuMi nasafiri na passo toka mwanza hadi dar mara kwa mata. Na huwa nawasha garasaa 12 nazima gari dar saa 6 usiku
[emoji848][emoji848][emoji848] Hizi zenye CC 990?Nikiweka mafuta ya 20,000 natembea km 200, Vitz old model