Gari yako ukiweka lita nane (mafuta ya 20,000) inatembea KM ngapi?

Gari yako ukiweka lita nane (mafuta ya 20,000) inatembea KM ngapi?

Hilo swali halija kamilika naona wengi mnakurupuka kasoro mmoja, nawasiwasi kamamnamiliki magari....au mnatumia za wazazi wenu au Ndugu huwezi kujibu bila kujua mafuta ya diesel au petroli gari yenye engine cc 2500-3900 au hizi baby walkers cc 1200-1600. au ya mzigo fuso au trailer, Unaendeshea wapi rough road au rami.....ndo utajua Consumption ya gari lako

Wewe ndo hujaelewa ..swali lipo clear kabisa kwamba wese la 20k lakupeleka km ngap.it doesnt matter ni laina gani..cc ngap diesel or petrol nk
 
Wewe sasa nahisi hauna gari bali ni fundi wa magari swali limekaa fupi na linaeleweka,

Mwenye kuleta uzi amezingatia gari yake bila kutaja cc wala aina ya fuel anayotumia ila amesema elfu 20 anatumia kwa hizo km alizotaja..
Nimecheka sana hiyo paragraph ya mwisho, sasa wewe tukuweke kwenye calories ngapi unachoma kwa siku
 
Mkuu nataka niuze escudo nije huku asee, wanasema passo ziharibika sana ni kweli?
Kaka engine ya passo haitaki service za kuungaunga weka oil recomended. Utadumu nayo. Mm nimetembelea ya kwanza ilipofika 160000km nikaiuza nikanunua ingine kwa 8mln ina 30000km saii ndo kanakimbilia 55000km
 
Me nna ki vitz old model kama kijini yan hata sikielew kuna kula hatar,
 
Binafsi bila AC napata average ya 120km. Nikiwa highway na AC on below 120KmpH napata 130km kwa lita nane

Towntrips average kawaida ni 15km per liter

Kwa bei ya mafuta ya sasa huku mwanza ni 2577 tsh kwa liter inamanisha napata 7.7 liters

Kwahiyo nimeshuka mpaka 116 Km kwa elfu 20.

Aina ya gari : IST (the ussual suspect)
Engine code : 2nz fe
Cc : 1,298 sawa na 1,300

Good service. OEM parts

Umri wa gari : 8 years kuelekea 9 years by January 2022
 
Back
Top Bottom