ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Liqui moly oil sijui kama nime spell vizuri unaweza Google piaHabari za mchana watu wangu
Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani maana nilienda kupiga service mafundi wakaweka oil ya Castrol (20w-50)
Engine ikaharibika ilianza kupiga kelele nimebadilisha mswaki sasa nitumie oil gani?