Hayo yanatelekezwaga huku tunapobeba box. Unaweza kuyaokota tu bure ila kumiliki na kuyatunza ni gharama kubwa.Niuzie hii gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yanatelekezwaga huku tunapobeba box. Unaweza kuyaokota tu bure ila kumiliki na kuyatunza ni gharama kubwa.Niuzie hii gari
Itakuwa oil waliweka kidogo, ishawahi kunitokea kitambo hiko, nikanunua mswaki kama laki 9, nikafunga na kuiuza gari yenyewe.Gari haijaxhemsha rejeta iko vizuri ilikuwa inapiga kelele tu
Yaani mafundi wengi ni shida tu, yako ilikuwa gari ganiItakuwa oil waliweka kidogo, ishawahi kunitokea kitambo hiko, nikanunua mswaki kama laki 9, nikafunga na kuiuza gari yenyewe.
ISTYaani mafundi wengi ni shida tu, yako ilikuwa gari gani
Yani nashindwa kuelewa engine oil ilisababishaje engine kufa, tena castrol oil...Iliungua akaweka half engine...cc mswaki
Mafundi wengi ni stress tu
Tafuta Mechanical workshop, alafu pata fundi msimamizi wa pale, make sure kila mwezi unaipeleka hata siku moja anashinda nayo. Gari utaipenda maisha yako yote.Yaani mafundi wengi ni shida tu, yako ilikuwa gari gani
Shida Ukimuachia fundi gari ashinde nayo anafanya yake labda uisimamieTafuta Mechanical workshop, alafu pata fundi msimamizi wa pale, make sure kila mwezi unaipeleka hata siku moja anashinda nayo. Gari utaipenda maisha yako yote.
Hizi mambo za kutafuta mafundi mpaka gari iwe na shida ndo zinatuzingua. Unakuta fundi mwenyewe gari yako haijui vizuri.
Mafundi wa Mechanical workshop, ni tofauti na mafundi wa garage za mtaani. Try this and you will thank me later. Yaani hata kama ni brake zinazingua kitu kidogo, wewe kama hauna mambo mengi muachie siku nzima aikague na kurekebisha, utakuja kukuta gari yako ni kinanda sana.Shida Ukimuachia fundi gari ashinde nayo anafanya yake labda uisimamie
Natamani nikushauri Jambo, ukweli mchungu ni kwamba, ulikaanga engine na ikabidi kubadilisha nusu engine, na hao jamaa wanajua kuwa hujui mambo ya magari. Unaweza kukuta hata engine haikufungwa huo mswaki, anyway hakikisha Tu unaweka oil unayoamini wewe.Fundi aliyeikagua alisema waliweka oil nzito hii 20w-50 sasa najiuliza oili ipi inafaa
Ngoja niwasakeMafundi wa Mechanical workshop, ni tofauti na mafundi wa garage za mtaani. Try this and you will thank me later. Yaani hata kama ni brake zinazingua kitu kidogo, wewe kama hauna mambo mengi muachie siku nzima aikague na kurekebisha, utakuja kukuta gari yako ni kinanda sana.
Aufuate huu ushauri, asidanganywe na mafundi.Pole sana mkuu.
Hiyo nusu sasa ni kuitunza. Komaa na service na kuhakikisha gauge ya temperature haikutupi mkono.
Zingatia kila taa red kwenye dashboard simama. Hizo ni fatal.
Kila taa orange usipuuze. Hizo ni warning.
Gari ikitunzwa kwamba ni "a lifetime investment, is real."
Habari za mchana watu wangu
Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani maana nilienda kupiga service mafundi wakaweka oil ya Castrol (20w-50)
Engine ikaharibika ilianza kupiga kelele nimebadilisha mswaki sasa nitumie oil gani?
Yaani mafundi wengi wanaharibu gari wanajua wakitengeneza vibaya utarudi ili wapige pesa tena kumbe ni kufukuza wateja mtu akiondoka harudiAufuate huu ushauri, asidanganywe na mafundi.
Mafundi wa Mechanical workshop, ni tofauti na mafundi wa garage za mtaani. Try this and you will thank me later. Yaani hata kama ni brake zinazingua kitu kidogo, wewe kama hauna mambo mengi muachie siku nzima aikague na kurekebisha, utakuja kukuta gari yako ni kinanda sana.
Nisome polepole utaelewa.Mtanzania umwachie gari?
Huwezi kukuta hata engine ni tofauti?
Sembuse nozzle, control box, turbo charger au hata control box?
Labda!
Exactly na ndio kilichokupata Rafiki! Unajua mswaki WA Sienta kama sijakosea inacheza Kati ya 900,000 Hadi 1.2m hapo, na nashawishika bado kuwa kuna foul ulichezewa na hao mafundi.Yaani mafundi wengi wanaharibu gari wanajua wakitengeneza vibaya utarudi ili wapige pesa tena kumbe ni kufukuza wateja mtu akiondoka harudi
Atari yaani huwa siwaamini bora usimamie mwenyewe au uweke mtu aisimamieMtanzania umwachie gari?
Huwezi kukuta hata engine ni tofauti?
Sembuse nozzle, control box, turbo charger au hata control box?
Labda!
Nisome polepole utaelewa.