Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Tumia SAE40 iwe Total, Castrol,Puma,,Oryx
WEWE NDO MCHAWI KABISA UNATAKA KUUA GARI YA HUYU DADA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia SAE40 iwe Total, Castrol,Puma,,Oryx
Hiyo gari ya Winnie Winnie inspection ya mwisho ikiwa Japan ilikuwa na km 297,987.Hao ndo hupigwa na vitu vizito..Kilometer watu hubadilisha ndani ya muda dakika 10 tu.
Hawana akili hao atauza gari ina kilomita 150,000 halafu anaenda kununua gari imechezewa kilomita ambayo ilikuwa na kilomita 210,000 zimebadilishwa sikuizi kilomita zinachezewa bora ufunge engine mpya ubaki na gari yakoHao ndo hupigwa na vitu vizito..Kilometer watu hubadilisha ndani ya muda dakika 10 tu.
Kweli hizo oil wengi wanasema mbaya nimeweka oil 5w-30 gari imekuwa saaafiWEWE NDO MCHAWI KABISA UNATAKA KUUA GARI YA HUYU DADA.
YES NDO UWE UNAWEKA HII. ILE ALIYOSEMA JAMAA USITHUBUTU. HAIFAI NA WASIKUSANGANYE TENA MAFUNDI. ALWAYS WEKA 5W30.Kweli hizo oil wengi wanasema mbaya nimeweka oil 5w-30 gari imekuwa saaafi
Asante sana nduguYES NDO UWE UNAWEKA HII. ILE ALIYOSEMA JAMAA USITHUBUTU. HAIFAI NA WASIKUSANGANYE TENA MAFUNDI. ALWAYS WEKA 5W30.
Kwanini?WEWE NDO MCHAWI KABISA UNATAKA KUUA GARI YA HUYU DADA.
Gari ya miaka 20 iliopita, ina km zaidi ya 140k unaweka 5w30? Hongera.Kweli hizo oil wengi wanasema mbaya nimeweka oil 5w-30 gari imekuwa saaafi
Gari inatumia 5W30 unadhani ni sahihi kuweka SAE 40?Kwanini?
Pole sana; viscosity ya 50 inaweza kuharibu kabisa injini yako.Asante sana yaani mafundi waliniwekea 20w-50 aisee engine ikaharibika
Toa sababu kwanini? Gari ya miaka 20 iliopita uweke 5w30?Gari inatumia 5W30 unadhani ni sahihi kuweka SAE 40?
Wewe unazifahamu gari kuliko waliotengeneza na ku recommend iwekwe 5W30?Toa sababu kwanini? Gari ya miaka 20 iliopita uweke 5w30?
Sema kwanini SAE40 haifai.
Hujajibu swali. Kwanini iharibike? Acha kurukaruka jibu swali.Wewe unazifahamu gari kuliko waliotengeneza na ku recommend iwekwe 5W30?
Oil ya 5w-30 watu wanatumia hadi zaidi ya kilometa 200,000 na gari zinatembea kama mpya kabisa,kama hujui oil nzito zinaharibu engine ni oil za magari makubwa(marori) na trekta kama hiyo SAE haifai kabisa kwa gari ndogo wanaweka ambao sio wataalamGari ya miaka 20 iliopita, ina km zaidi ya 140k unaweka 5w30? Hongera.
Nilienda Kupiga service kuwa mwelewa na wewe kwahiyo service unajipigia mwenyewe kama unajipigia mwenyewe tafuta pesa tajiri hapigi service mwenyeweKubadilisha oil mpaka fundi?
Kuuliza si Ujinga, Ila hii haikuhalalishii kuuliza maswali ya Kijinga.Hujajibu swali. Kwanini iharibike? Acha kurukaruka jibu swali.
Huna jibu na hujui unachopinga.Kuuliza si Ujinga, Ila hii haikuhalalishii kuuliza maswali ya Kijinga.
Hata hujui SAE ni kitu gani. Eti SAE haifai. Jifunze basi SAe maana yake nini?Oil ya 5w-30 watu wanatumia hadi zaidi ya kilometa 200,000 na gari zinatembea kama mpya kabisa,kama hujui oil nzito zinaharibu engine ni oil za magari makubwa(marori) na trekta kama hiyo SAE haifai kabisa kwa gari ndogo wanaweka ambao sio wataalam
Ndugu uzi wako nimeusoma uko vizuriPole sana; viscosity ya 50 inaweza kuharibu kabisa injini yako.
Maswali yanayohusiana na aina za oil kwenye gari niliwahi kuyajibu sana kwenye thread hii
Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli
Usishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler. Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka huu baada ya kuitafuta kwa muda kidogo through part-time activities kwani hiyo siyo kazi yangu kuu...www.jamiiforums.com