Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani?

Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani?

Habari za mchana watu wangu

Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani maana nilienda kupiga service mafundi wakaweka oil ya Castrol (20w-50)
Engine ikaharibika ilianza kupiga kelele nimebadilisha mswaki sasa nitumie oil gani?
20W50 ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Angalau wangekuwekea 5W40 kama ni saloon.

Hizo km nyingi sana. Hiyo gari uza nunua yenye km chini ya 70,000.

Kabla ya kununua gari kwa mbongo hakiki km zake kwa ukaguzi wa mwisho uliofanyika Japan sababu magari mengi wanachakachua ma hata kwenye baadhi ya showrooms hapa bongo wanatudisha km nyuma
 
Unanishauri kama nani unavamia uzi akili huna na wewe nikikuambia uuze nyumba yako utauza,nimeomba ushauri wa oil sio kuuza gari kichwa maji wewe
Utakuta gari ina km zaidi ya laki 2 na sio hiyo uliyoandika hapo.

Unafahamu jinsi ya kuangalia km ya mara ya mwisho ilipofanyiwa ukaguzi ikiwa Japan?
 
unazalau ushauli wa kubadilisha gari..lakini kwa ilichosema hapa ni sahihi kubadirisha angalau injini yote na uweke injini mpya kama hutaki kubadilisha gari.
maana hiyo gari kwa safari ukianzia dar hata moro hufiki itakua onachemsha.
kuhusu oil soma kwenye hiyo stick ya kupimia oil wameandika hapo.
 
unazalau ushauli wa kubadilisha gari..lakini kwa ilichosema hapa ni sahihi kubadirisha angalau injini yote na uweke injini mpya kama hutaki kubadilisha gari.
maana hiyo gari kwa safari ukianzia dar hata moro hufiki itakua onachemsha.
kuhusu oil soma kwenye hiyo stick ya kupimia oil wameandika hapo.
Jinga kweli kwahiyo wewe unajua sijawahi kusafiri nayo eti gari isifike hata moro na wewe ni mtu wa fb umekuja tu rudi ulikotoka, kwahiyo waliochangia huu uzi wote ni wajinga wewe ndiyo una akili rudi facebook
 
Gari yangu ina zaidi ya 200,000 km ni cc1000 na mpka leo naweka recommended oil 5w30 na ina kwenda poa kama mpya, japo kidogo ina moshi najua si muda itabidi tu nibadili oil seal, kwenye suala la oil mie ndio huwafundisha mafundi.
Naona mpaka sasa wew ndio umeongelea kinacho hitajika hasa kuhusu Oil
 
Habari za mchana watu wangu

Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani maana nilienda kupiga service mafundi wakaweka oil ya Castrol (20w-50)
Engine ikaharibika ilianza kupiga kelele nimebadilisha mswaki sasa nitumie oil gani?
JituMirabaMinne

Mtafute huyu member akusaidie kumaliza tatizo lako, wengine humu ni MIYEYUSHO.

Unaweza pitia nyuzi zake kujiridhisha kabla hujamtafuta

JituMirabaMinne
0621 221 606

Asante.
 
Jinga kweli kwahiyo wewe unajua sijawahi kusafiri nayo eti gari isifike hata moro na wewe ni mtu wa fb umekuja tu rudi ulikotoka, kwahiyo waliochangia huu uzi wote ni wajinga wewe ndiyo una akili rudi facebook
yaani wewe mwanachama wa juzi ijumaa. unatukana watu.
kazana hivyohivyo.
 
JituMirabaMinne

Mtafute huyu member akusaidie kumaliza tatizo lako, wengine humu ni MIYEYUSHO.

Unaweza pitia nyuzi zake kujiridhisha kabla hujamtafuta

JituMirabaMinne
0621 221 606

Asante.
Asante ndugu nimeshaweka oil 5w-30 gari imekuwa poa sana inakimbia kama mpya kabisa, ila nitapita na huko kwa miraba minne nijifunze zaidi
 
Back
Top Bottom