Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani?

Habari za mchana watu wangu

Gari yangu imefikisha kilomita 144,573 nitumie oil gani maana nilienda kupiga service mafundi wakaweka oil ya Castrol (20w-50)
Engine ikaharibika ilianza kupiga kelele nimebadilisha mswaki sasa nitumie oil gani?
Liqui moly oil sijui kama nime spell vizuri unaweza Google pia
 
Ndiyo mzungu anaita half engine kwa kiswahili ni nusu engine

Pole sana mkuu.

Hiyo nusu sasa ni kuitunza. Komaa na service na kuhakikisha gauge ya temperature haikutupi mkono.

Zingatia kila taa red kwenye dashboard simama. Hizo ni fatal.

Kila taa orange usipuuze. Hizo ni warning.

Gari ikitunzwa kwamba ni "a lifetime investment, is real."
 
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…