Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi nikupe engineer wa Gear BoxWakuu habari za saivi
Shida niliyonayo ni gari yangu haiziidi speed ya 40 na engine ina nguruma sio kawaida ninaomba idea zenu
Mambo ya Germany machine hayo bossIlinitokea hii ila sio kwenye Voxy, nilikua natoka Iringa kuja Dar. Kuja kugundua nusu ya ATF ilikua imevuja. Mi ilikua inaishia gear 3 na ata nikiweka Manual shift nikiforce iende gear 4 inarudi chini.
Ilibidi niende nayo ivo ivo hadi Dar .
Hamna kilichokufa ila nilitengeneza kwa Mil 1.2+
Ilikua BMW 3 series, sitaki ata kuisikia takataka ile.
Hayataki janja janja.Mambo ya Germany machine hayo boss
Hafu umepotea unashinda wp ww
Oyaa mzee baba mpambano, kinyago nimekichonga mwenyewe kinataka kinitisheHafu umepotea unashinda wp ww
Kama upo moshi kuna fundi nikuunganishe naye. Na mimi nina noah voxy ilikuwa na shida kibao jamaa aliipambania akafanikiwa. Yupo kiboriloni kwa Alphonce. Ukihitaji nicheck dm nikupe namba yakeNgoja nichukue hizi note