Gatuzi/kaunti ya Murang'a yaanza ujenzi wa hospitali kubwa ukanda huu kwa ajili ya saratani - maendeleo kote Kenya, nje ya Nairobi

Gatuzi/kaunti ya Murang'a yaanza ujenzi wa hospitali kubwa ukanda huu kwa ajili ya saratani - maendeleo kote Kenya, nje ya Nairobi

Nilisomea Uganda miake minne and I can speak Lusoga Fluently so your point is not admissible in this context.

Mozambique, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi,Congo DRC na Uganda huwezi communicate nao so you are technically useless to them. Tembea Mkuu akili zifunguke. Huyo @mkikuyu akili timamu is a hundred times smarter than you able to sustain an argument coherently stating half truths. Ni mtanzania aliyesomea au kuishi Kenya.
Hueleweki, vipi kuhusu kufanya kazi Serikalini, Serikali ya Kenya inaweza kuajiri mtu ambaye sio mkenya katika ajira za Serikali?
 
We have plenty of them, but this one will be a showstopper in the whole of EAC, and will be located in a county away from Nairobi, meaning the whole country is on turbo charge.
Mention them
 
Mkenya anayeunga vitendo vya CCM mkono?
Freedom of speech, media etc etc...Vitu ambavyo wakenya tumepigania kwa vita vya polisi na bungeni! Watu wamekufa kwa sababu ya izi haki tulizonazo. Huyu so mkenya ata kidogo.

Watu kama hao ni wa kupuuza, atakuhemesha bure, aidha kuna moja kati ya mawili, inawezekana akawa ni Mkenya kaajiriwa na CCM kufanya propaganda maana ukimsoma vizuri huwa hana msimamo kwenye hoja yoyote, hana tofauti na waimba mapambio wa CCM ambao hugeuza geuza na kupindisha pindisha kulingana na upepo unavyovuma kwenye uongozi wa chama, kwa namna hiyo yuko kikazi zaidi na hamna lolote mnaloweza kukubaliana naye kwenye hoja, akionekana kulegeza atafutwa kazi, hivyo bora kumpuuza kama jinsi huwa nawapuuzia mbali waimba mapambio wenzake, watakupotezea muda.

Au iwe ni Mtanzania ambaye ameishi Kenya muda mrefu hadi haijui Bongo vizuri, maana huyo jamaa pia ukimsoma kwenye hoja zake tofauti na kushabikia CCM, huwa haonekani kuifahamu Bongo, huparamia kila kinachoangazwa bila uelewa wake, anachojua kuhusu Bongo ni taarifa zinazokua posted lakini sio kwa uzoefu wa kuishi kule. Mimi nimeishi Bongo na nimekatiza mikoa mingi sana, huwa rahisi sana kwangu mimi kumbaini Mtanzania ndani ya dakika mbili tu za mazungumzo.
 
Murang'a is not a place for cowards and apologists like PK. Muranga kikuyus are not like nyeri,kiambu or kirinyaga kikuyus, we dont give a **** about who is in govenment, we only worship 1 thing - Money.. fullstop. this is why muranga kikuyus own major banks, the whole of river road and other many businesses.
Kenyatta and his apologists can go to hell
Ndindi nyoro Hana muscle bado bro, kwanza yeye ni team tangatanga atakua na uphill task.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Murang'a is not a place for cowards and apologists like PK. Muranga kikuyus are not like nyeri,kiambu or kirinyaga kikuyus, we dont give a **** about who is in govenment, we only worship 1 thing - Money.. fullstop. this is why muranga kikuyus own major banks, the whole of river road and other many businesses.
Kenyatta and his apologists can go to hell
But uhuru has got a urinator by the name Irungu kang'ata eti pia anataka ugavana murang'a. Bullshit .

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Wacha wajifariji hizo ndizo tabia zao, Si walisema MigunaMiguna sio mkenya eti sababu anakosoa Serikali ya jubilee.
Hawa wakenya wa JF huwa aidha wametumwa na jubilee kuchafua taswira ya Tz ama wapo brainwashed.
Ukitaka uhalisia wa wakenya enda twittani
Nnaye musaja Ggwe oli nga kyimenke? twagala Ddembe twesonyiwe.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom