Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Janjaweed,
Vipi nitakufa ajuaye Allah SW.
Ni sawa kabisa

What I expressed is the level of dismay niliyonayo Kwa jinsi usivyo hata na lepe la aibu au staha when it comes to ubaguzi wa kidini

I don’t know mimi au wewe tutakufaje… kwenye fasihi inakubalika nilichosema
 
Kwahiyo ukitumia udini ndiyo yatarudi?
 
Kwahiyo ukitumia udini ndiyo yatarudi?
Mzee kilizi anataka huruma..anataka apewe ikulu..anata nchi iwe ya kiislamu..anataka babu zake skyes wawe baba wa taifa..anataka kila taasisi ya serikali kuwe na msikiti..hizi ndio hoja zake kuu..mengine yote anayosema ni porojo tupu.

Kiufupi tu mzee hizo ni ndoto za mchana..fanya tu ulee wajukuu ukisubiri kifo..hayo hayawezekani..tanzania ni kubwa kuliko huo ujinga wako na vi historia vyako uchwara

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati hao ukiowataja Mimi nimewasoma wote isipokuwa huyo Phombea na Okoch !
Ulitaka wafanyiwe Nini zaidi ya kuandikwa kuwa ni Waasisi was TANU ,Kuwa wakwanza kipewa Kadi no kwa sababu kadi za Kwanza zilitolewa hapo zingetolewa Karagwe kwa kina Kahama ,Kahama Nate aangekuwa mbele!

Mbona kina Sykes n familia kubwa na kila mtu anawajua ...niliwahi kuwa karibu kikazi na mojawao aliyekuwa Meya ...hata huo Udini Hana,la kufuata Dini yake ...siwezi lizungumzia kwa.sababu nilimfahamu kwa muda mfupi ,na kwa macho ya nyama,ukizingatia kuwa hata Dini yake siifahamu vizuri!
Mkuu kuwa umepewa nafasi ya kuandika majarida au utafiti mbali2 haiondoi hisia zetu kuwa una Udini!
Unapofikia hadi.kusema Nyerere alipokujaa Dar ,hakuwa na ndugu kwa hiuo alipokelewa na Baba zako,inaonesha kilicho ujaa moyo wako no chuki,roho mbaya ,husuda na uswaahili!
Duniani kote watu wanapokelewa na wenyeji
Wewe Kama msomi(!?) Kuyapa kipaumbele mambo madogo Kama hayo...ni kujifedhehesha!
Tuwe wakweli!
Kuna kitu ,huwa hakipo sawa kwa upande was Jamii zinazofuata saaana ...Uarabu!
Angalia miji Kama Bagamoyo,Tabora ,Kilwa nk jinsi ilivyochelewa kuendelea!
Na huko kuna malalimiko lukuki,kuwa wanaonewa !
Na hii sio Tanzania pekee,hata Pwani ya Kenya Waislam wanalalamika!
Je inakuwaje Kanisa Katoliki linamiliki eneo strategic mjini Bagamoyo ,ilhal Msikiti Mkongwe upo hapo,na sehemu ya eneo la Msikiti huo unamilikiwa na mtu mmoja!
Hayo maeneo Wazawa walinyanganywa na nani!
TANU,NYERERE AU SERIKALI!?
Juzi nilikutolea mfano was Wilaya ya Kisarawe...UNICEF waliwekeza ktk Elimu kupitiaa Mpango wa Vijana na Watoto Wanaoishi ktk Mazingira Magumu(2000s)
Ndani ya muda mfupi kiwango Cha Ufaulu uliongezeka ,na Kisarawe ikaingia ktk Wilaya Bora Kielimu(nenda kafanye utafiti) je waalipendelewa ?!
Nina uhakika hata project ya DC Joketi,ondoa Zero Kisarawe italeta matunda hivi punde!
Ndugu zetu acheni kudanganywa na watu wachache ambao wanasema wazi wanawatete Baba zao" Hakuna njia ya mkato no mapambano!
Kuna mikoa ilikuwa nyuma kielemu miaka ya 1980 Leo ipo juu ikisshindana na Kilimanjaro!
Hawakulia walisimama na kupambana!
Utasemaje Wachaga walikuwa wanapendelewa ilhaali Wana Shule za Kata tangu miaka ya 60na 70 ambazo huku Pwani bado ni haba?
Hivi hizo familia za babako zako wangekuwa waungwana wangewadhulumu Baba zetu waliopigana Vita Upande wa Waingereza au unataka tulianzishe!🤫
 
Yaani watoto wenu wafeli halafu baraza livunjwe??
Muda huo mnaandamana mngewahimiza kusoma.
Mbona kuna wanaofaulu?

Mbona wakristo wakifeli hawaandamani!
Acheni kulia.
Huo muda mnalialia nendeni mkajifunze kwenye shule za seminari na za kikristo jinsi walivyo serious na elimu,,,yaani wale wanafanya elimu na dini kwa asilimia 100,,wamebalance kote kuna uwiano.
Kwenu mnasomesha watoto madrasa tu ,mambo ya darasani mnapwaya halafu mnataka ufaulu,,huyo mtume anawafundisha kufaulu bila kusoma?

Badala ya kuswalisha na kukaririshana kuweka Qur'an kichwani,mtenge muda wa kuwahusia watoto wasome na elimu dunia.


We mzeee ni mdini sana hadi unakera waziwazi.

Necta Haina dini mkuu,mtihani unakuja bila kuangalia kijana ni swala tano au mtawa.


We mzeee ukristo utakupa BP bure,,achana nao..
Kama huwezi basi jiunge nao uwe huru, karibu kwa Yesu aliye hai ..achana na stori za kusadikika na kumsubiri mtume ambaye naye alishakufa na anamsubiri Yesu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajiulize mbona Waislam, wanapeleka watoto While za Kikiristo,na vivo hivo Wakristo wanapeleka watoto kwenye Shule za Kiaaslam(naifahamu Feza)
Watu Waastarabu walishavuka mstari huo Siku nyingi!
 
Mzee no lazima uache huu Udini kwenye Jukwaa hili!
Isitoshe tutahoji Jamii Forum wamekupaje tuzo ,huku ukionesha wazi una dallili za Udini na Ubaguzi!
Ama sivyo Uongozi was Jamii Forum utuambie kuwa unachoandikaga hakina Element za Udini!
Hata kichwa Cha Uzi huu kinamzunhumzia Gaaudensia Kabaka ,Uenyekiti was UWT na zuio la Ujenzi was Msikiti UDOM ,Utafikiri UDOM inamilikiwa na Mama Kabaka!
 
Ndugu zanguni,
Nasoma hoja zenu ninachogundua ni kuwa hamtaki kukubali kuwa historia ya TANU kwa kutumia lugha ya sasa, ''ilichakachuliwa.''

Hili mimi niliamua kulishughulikia na nikaandika kitabu cha Abdul Sykes.

Mnataabika sana kukubali kuwa ilikuwapo mipango ya kuondoa majina ya wale waliounda TANU.

Lakini kwenye ukweli uongo hujitenga.
Kitabu cha Abdul Sykes kimebadili historia ya Tanganyika.

Toka kitoke mwaka wa 1989 hadi leo kimechapwa matoleo mañne.

Ukitaka kujua hali ilivyo hivi sasa ni kuwa katika kuadhimisha Nyerere Day juma lililopita nimehojiwa mara saba na TV station karibu saba pamoja na TBC, AZAM na mahojiano yetu nimeyaweka hapa.

Penye ukweli uongo hujìtenga.
Wahariri wanataka kusikia historia ya Mwalimu Nyerere kutoka kwangu.
 
Sasa Hilo kama ndivyo lilivyo Lina unasaba na Ubaguzi kwa Waislam...kivipi,kwa kuwa umechangamya mambo.menhi humu
Mara 20:80,Mara Nyerere alisaidiwa ,nk
Hoja yako nini!
?
 
Kwanini hivyo vyuo,shule msijenge toka nyererealivyofariki mpaka leo?
 
Unakubali vipi kupewa tunzo na makafir?
 
Badala ya kujibu hoja zake na wewe umekomaa na mitusi, nani kakudanganya kwamba matusi ni hoja?
 
Hivi huyu mzee alipataje tuzo ile?

Mbona amejaa udini sana!!!, kusema kweli huyu hakustahili kupewa tuzo hiyo.

Ajaribu kuangalia comments za watu jinsi ambavyo hawafurahishwi na mwenendo wake wa udini ijapokuwa wanatambua mchango wake.

BADILIKA MZEE
 
H
Hii hoja inahitaji maelezo zaidi na ufafanuzi wa kina kwani ni SHUTUMA NZITO siyo dhidi ya Mwenyekiti wa UWT pekee bali ni kwa Chama na uongozi wote wa Chama chetu pendwa Chama Tawala, CCM.

Mleta "shutuma au shtaka" hili awajibike kutoa maelezo fafanuzi kama vile jambo hilo lilitokea lini, kwa sababu gani na "mshutumiwa" alifanya uamuzi huo mzito kwa mamlaka na wadhifa upi!? Vinginevyo, yaani ukosefu wa maelezo hayo ya kina, basi utakuwa ni "uzushi, uongo na ufitini usio na faida kwenye jamii.
 
Waislam ni watu wa kulalamika duniani kote kuwa wanaonewa.
 
Kwanza hiyo historia ya TANU itaisaidia nn tanzania karne hii mzee wangu....

Wewe kinachokuuma ni nyerere tu

Na mfano watu kama nyie mngeshika mikoba
Nchi hii sijui kama wakristu wangekuwepo

Ova
 
Fuma...
Mimi nisiyejua chochote nazungumza na mjuzi lakini huyu mjuzi anashindwa kutambua ukweli kuwa yapo malalamiko ya kweli.
Halafu time factor ni muhimu sana, jambo hili lilitokea lini na "mtuhumiwa" alifanya hayo akiwa kama nani, Mwenyekiti UWT au nani? Hapa time factor ni muhimu sana ili tuendane sawasawa na matukio yote na shutuma pia. Mwandishi au mleta uzi aeleze tu bila jazba kuhusu maswali yetu; kwa nia njema tu ya kuelimishana.
 

Kama huwezi basi jiunge nao uwe huru, karibu kwa Yesu aliye hai ..achana na stori za kusadikika na kumsubiri mtume ambaye naye alishakufa na anamsubiri Yesu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Saint...
Majibu kama haya ni majibu na kwangu mimi na wengine ni changamoto.

Wataalamu katika baadhi ya vyuo nikiwwaonyesha majibu haya hunipa kazi ya zaida wanaomba nikusanye yote mfano wa haya mwisho wa mjadala kwa ajili ya uchambuzi.

Nakuweka moja ya data ambayo niliwapelekea uisome kisha In Shaa Allah nitakuletea majibu yao:

''Lakini tuende kielimu.

Ninayo ripoti ya mwaka huu.

Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu.

Asilimia 29 ni wengine.

Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21. Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe.

Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.

Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu.

Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga. Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha.''

(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)

Tizameni haya na tujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…