Barbara! Wamama was Pwani walikiona kidume Cha kwenfa UNO niJulius😅Jones...
Mimi hapa niko darasani nasomesha yale ambayo wengi hamkuwa mkiyajua.
Siko katika ubishi.
Nimemeeleza yaliyotokea UDOM kwangu imetosha.
Ulijua kuwa hafla ya kumuaga Mwalimu Nyerere safari ya kwanza ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?
Kulia Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na wa kwanza kulia ni Bi. Tatu bint Mzee naJulius Nyerere ni huyo hapo katikati uwanja wa ndege Dar es Salaam safari ya kwanza UNO February 1955.
Kwa maswali uliyomaalizia hapo chini mjadala huu utakuacha!Kwa hiyo unasema huyo Gaudensia siye aliyefanya hayo maamuzi bali ni Taasisi and in this context ni UDOM. Naamini unajua tunazungumzia nini, hivyo wewe huamini kuwa Gaudensia ni mtuhumiwa katika hili bali ni UDOM!? Basi sawa ingawa bado ningependa kujua "kadhia" hii ilitokea lini? Na Gaudensia alikuwa na madarak gani na wadhifa gani hapo UDOM?
Hilo la kuwa mlipigania Uhuru hatuna mashaka nalo...Sasa mlitaka mpewe zawadi gani zaidi ya hii kiwa no wapigania Uhuru!Lombo,
Vitisho vya nini ndugu yangu?
Babu yangu mkuu kaingia Tanganyika kutoka Belgian Congo kabeba silaha kama askari katika jeshi la Wajerumani lakini mwanae babu yangu Salum Abdallah kapigania uhuru wa Tanganyika.
Hii ni historia inayofahamika na ni katika athari za ukoloni.
Umemtaja Kleist Abdul Sykes, Meya wa Dar es Salaam.
View attachment 1988488
Kulia ni mimi, Yusuf Zialor, Kleist Sykes, Bubby Bokhari, Abdallah Tambaza.
Waliochuchumaa kulia Abdul Mtemvu, Wendo Mwapachu na Kaisi 1968.
Kleist alikuwa na miaka 20 mimi 18.
Nadhani umeona kuwa sisi wazee wetu walikuwa katika harakati za siasa za kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sawa ila time factor ni muhimu ila Lombo unakataa tu, binafsi bado nasubiri majibu na ufafanuzi wa hili suala; vinginevyo nitabaki na dhana yangu kuwa SI KWELI NA NI UZUSHI TU.Kwa maswali uliyomaalizia hapo chini mjadala huu utakuacha!
Huyo unaemtukana anatuzo zaidi ya 10 za heshimaHuyu Mzee Mohamed Said ni useless kabisa! Kila kitu yeye ni kuingiza hisia za udini! Hiyo UDOM wewe unadhani inaongozwa kama kijiwe cha kahawa unakoshindia ukipiga domo kutwa! Uamuzi wa kutojenga au kujenga Msikiti chuoni hauwezi kuchukuliwa na mtu mmoja!
Bibi Titi alipigania harakati za kudai uhuru na si kuuinua uislam, Wewe kizuka jaribu kutumia akili!
MsameheFuma...
Mjadala huu unahitaji ujuzi.
Umeghadhibika unanitukana.
Saint...Kama hawakwenda basi ujue hawakufaulu,inamaana hawana akili kama ulivyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lombo,Hilo la kuwa mlipigania Uhuru hatuna mashaka nalo...Sasa mlitaka mpewe zawadi gani zaidi ya hii kiwa no wapigania Uhuru!
Au mlikuwa mnapigania Dini!?
Hizo analysis za probability kama vijana hawasomi lazima zikatae mzee.Saint...
Mimi nilipompelekea huyu mtaalamu hii data nikamwambia tu-assume kuwa hawa vijana wa Kiislam hawana uwezo na ndiyo maana wakashindwa kupasi.
Yeye akaniuliza maswali mengi lakini akaniambia kuwa akifanya analysisi katika law of probability inakataa hili haliwezi kuwa.
Akaendelea kuniambia kuwa mfano wake ni kama pyramid katika matokea ya mitihani kuwa juu wanakuwa wachache na chini wengi.
Mimi sikushindwa nikawa namuuliza maswali mengi na yeye aknipa majibu kitaalamu.
Alinichekesha aliponiambia kuwa hayo matokeo ya Tanzania ingekuwa ni kweli hakuna ''foul play,'' ingekuwa imeanzisha '' unique law,'' natungeingia katika vitabu vya dunia kwa uvumbuzi mpya.
Mwisho nikamuonyesha utafiti ambao ulifanywa na Warsha mwaka wa 1981 kuhusu elimu Tanzania.
Jibu aliloniletea nilicheka.
''Foul play.
Mohamed you have all the answers and yet you want to waste my time!''
Huyu sahib yangu yeye ni ''educationist,'' akaniambia kuwa ananishukuru kwa kumpa topic ambayo ataitumia kwa wanafunzi wake.
Lombo,Barbara! Wamama was Pwani walikiona kidume Cha kwenfa UNO niJulius😅
Saint...Hizo analysis za probability kama vijana hawasomi lazima zikatae mzee.
Ujanja ni kusoma...
Unachanganya elimu na dini mzee wangu.Saint...
Ahsante hii ni data nitamrushia sahib yangu nisikilize atasema nini.
Hakika kuishi kwingi ni kuona mengi.
Nina miaka 69 nakimbilia 70 In Sha Allah February 20212
Mimi ni mzee sasa na uzee unajenga ustahamilivu ndiyo maana unanikejeli katika jambo la kisomi sighadhibiki naendelea kujadiliana na wewe.
Saint...Unachanganya elimu na dini mzee wangu.
Watoto wafeli usingizie eti dini Yao!
Hizi ni porojo mzee wangu.
Ukilaza hauhusiani na dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kuota.Saint...
Sahib wangu ananiuliza ikiwa watendaji wa serikali huwa wana majibu kama yako wanapokabiliwa na matatizo kama haya?
Jibu langu nimemwambia kuwa hili ni jambo nyeti sana na serikali wana msimamo wa kunyamaza kimya.
Mwana...Basi yaishe Moderators futa hii makitu inaleta uchonganishi tu wa kidini
! !Msamehe
Hajui atendalo
Saint...Endeleeni kuota.
Watoto wenu wa kiislam wasiposoma wataendelea kushika mikia na kuwa vilaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachanganya elimu na dini mzee wangu.
Watoto wafeli usingizie eti dini Yao!
Hizi ni porojo mzee wangu.
Ukilaza hauhusiani na dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]Lombo,
Uwezo wa Julius Nyerere ni wazi ka akina mama ndiyo wanachama wa mwanzo wa TANU kuunga mkono harakati za ukombozi...
Sijawawahi kuona mwalimu anayefundisha mambo kwa bias. Usifundishe kinachokufurahisha wewe fundisha kinachofanya jamii ielewe kwa mapana yake.Jones...
Mimi hapa niko darasani nasomesha yale ambayo wengi hamkuwa mkiyajua