Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Hongera kwa maelezo mazuri,ktk yote ninakukubali isipokiwa tu bado nakuona una Udini,kwa Hilo tukubaliane kutokukubalina !
Kuna mambo ,naomba unisaidie ...hivi ukihojiwa na hizo TBC ,AZAM huwa unaeleza kinagaubaga haya unayo andika hapa JF!
Mf.suala la Mama G.Kabaka,suala la 20:80,
Kama unayaelezaaga ' kwa uwazi Basi kongole!
Kama ndivyo ...Basi ktunatatizo.kama.Taifa!
Jambo la Pili,sijaonakweye maandishi yako ukieleza kama hili la Ukatili' wanaofanyiwa Waislam kielimu,kuwa umeisha au una3ndeelea?!
Mara kadhaa nilikutolea Mfano was Kisarawe ya miaka 2000s ambapo UNICEF walwekeza Hadi Wilaya hii iliukuwa nyuma ikaingia kwenye Wlaya Bora,! Sijui unasemaje katika hili kwa kuzingatia hoja yako !
Nashukuru kwa kukiri kuwa Udini ni Sumu,Ila umekana kuwa sio Waislam wanaeneza ...labda unawajua!?
Naendelea kusisitiza hujamtendea Haki,mama Kabaka hata kidogo...!
Kama Wenyewe hawatakuchukulua hatua itakuwa no ajabu Sana!
JF naamini ni Jukwaa linajali Kulinda na Kutetea Haki za Binadamu na Uhuru wa kipashana Habari,kukupa Tuzo Mwandishi unaye Hukumu watu (Kama Mama Kabaka) kwa tuhuma nzito za Kidini sio sawa.Na wao Wataonekana wanaunga mkono!
Labda kama walikupa Tuzo kwenye Eneo au kazi Mahsusi!
Jioni njema
 
Lombo,
Toka asubuhi nilijua hutofika mbali na mimi.
 
Lombo,
Toka asubuhi nilijua hutofika mbali na mimi.
Nitafikaje mbali Mkuu ikiwa una vimelea vya Ubaguzi was Kidini was kiwango hicho!
Hoja zilezile umekariri!
Nakuuliza Kisarawe ilipoongoza 20:80 ilikuea wapi hujibu!
Kimsingi wewe umeamua kuwafanya wenzio wajinga,!
Muislam mwerevu hawezi kukusikiliza!
Inawezekana hata Mamlaka zingine Imekuacha ujilishwe upepo!
 
Lombo,
Nilijua utarudi tena.

Lakini bahati mbaya ulishaniaga na mimi nimeshafunga mjadala.na wewe.
 
Kitabu kilikuwa cha kichochezi hiki
 
Serikali tu haina dini iweje shule /vyuo vya serikali ziwe na dini. Wee mzee unazeeka vibaya
 
As long hajavunja sheria za nchi sio tatizo. Mzee Said anareclaim the forgotten/deleted history
Ni kweli

Ni ule ubaguzi wa kidini tu ndio unaondoa the best flavor in his work
 
Andamaneni TU.
Necta haivunjwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…